Mi pia nna wasiwasi na huu ugonjwa kuwa ulikuwepo coz mwezi ulopita katikati niliandamwa na kikohozi na mafua ambayo yalinisababishia homa mpaka kwenda kupima bt as you know hospital zetu ni mwendo wa malaria ukizingatia kichwa kilikuwa kinaniuma ndo kabisa.
Nilipewa dozi ya pilton na syrup kwa...
Sasa mbona huwa anajifanya zaidi hata ya malaika na kutokutaka kukosolewa au kupingwa!? Kama si malaika au kuhifanya Mungu basi aache watu wamkosoe ili ajirekebishe vizuri.
Hivi kwa akili yako unaona michujo iliyopo sa hiv ni michujo ukweli ama usanii? Acha kujifurahisha kwa kauli za kisiasa za kufaulu na kushindwa kwa wanafunzi ukadhan wako siriasi. Kada ya Elimu tutaona matokeo take baada ya miaka kumi kupita. Kama na wewe ulifaulu kwa huu wastan D mbili kidato...
Huyu huyu MTU sijui katoka nnchi yaani siamini kwa kauli zake hizi. Nakumbuka Bashite aliwaita walimu wakuu waandike barua za kujieleza kwann wanafunzi walifeli na bila kupenda wakaandika tena na kujifunga kwamba hawatafelisha tena, bt leo huyu mzee na akili zake timamu akijua sababu moja wapo...
Aaaaaahhh....!! Siku hiz hakuna mchujo mkuu. Inafanyika sukuma liende. Ndo maaana unakuta mtoto yuko kidato cha kwanza ama cha pili hata kusoma ama hati ya mwandiko inafanana na aliyeko darasa la NNE.
Forced labour, land alienation, low capital, poor government policy, etc. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hizi point ni hatari sana kwa maswali ya Taifa.
Kwenye hili nna wasiwasi na hata uhalisia wa Yesu mwenyewe coz isingekua rahisi pia kwa mzungu kumuua mzungu mwenzake kisa eti ni Masia ivo kwa point iyo nahisi hata Yesu mwenyewe alikua mweusi na ikapelekea kutafutwa Mweusi mwenzie kumsaidia msalaba.
Wadau, hivi kuna MTU yeyote aliyeweka ela Princesses bet ama gal sport tz kwa wikend hii make toka Jana voda wameishikilia ela yangu kwenda prince na wanadai eti mitambo system yao inazingua na kwa gal sport nimejaribu kufanya depositing ndo inafail kabisa.. Msaada kwenye hili jamani.
Mkuu naomba tips kidogo za kujiunga sport pesa make kila nkijaribu wananiambia nskilizie verification code afu mwisho wa siku hawatumi wala nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakulima wenzangu naomba yeyote mwenye ufaham wa kiliimo cha karanga anijulishe ABC zake hasa ktk hali ya hewa zinapostawi sana, kiasi cha mvua zinazoitajika, udongo na hata magonjwa yanayozikumba na jinsi ya kukabiliana nayo.
Nawasilisha...
Aaaaaahh...!! U 've made my day mkuu. Nahisi hata kafara yake isingekubalika pia maaana kwa akili yake hata shetani asingepata faida ya damu yake make hata na yenyewe isha athiriwa.
Aaaaahhh...!! Sasa kama ni mtego ajiandae kukwepa bila kuwafungia nyimbo zao wengi tu. Make leo nmeisikia na mpya nyingine ya wagosi wa kaya inaitwa "Dreva". Sijui kama ataivumilia pia. Yangu masikio.
Mkuu tafakari vizuri juu ya manufaa ya ujenzi wa barabara ya kusini, kwa jinsi nnavoifaham kusini endapo ile barabara ikikamilika itakuwa ni kitovu kikubwa sana kwa maendeleo ya kusini na nchi kwa ujumla.
Hivi ulisha wahi kufikiri ni kwanini kulikuwa na mpango wa ujenzi wa Mtwara korido!? So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.