Habari za wakati huu wakuu!
Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil mfano kwa wiki tatu unaweza kuongeza oil mara moja na hakuna leakage yoyote.
Na nini kifanyike ili kuzuia tatizo hili?
Wataalam habari za wakati huu! Poleni na majuku yenu ya kila siku.
Naomba kujuzwa je ni sahihi joto la engine ya gari kuwa 108 degree centigrade then linashuka hadi 106 hapo nikiwa naendesha sasa naombeni kujua kama hili joto ni kawaida au kuna shida mahala.
ASANTE
Wakuu hanarini za asubuhi, natumai mmeamka salama. Naomba kujuzwa nahitaji kufanya service ya kawaida kwa gari ya ulaya, gereji gani nzuri Mbeya yenye utaalam wa gari hizi?
Asanteni.
Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
Wakuu habarini za wakati huu!
Naomba kueleweshwa yafuatayo kuhusu Visiwa Vya Comoro ili nijipange kutalii huko;
1. Usafiri wa kufika huko na gharama zake
2. Gharama za maisha huko
3. Ukarimu wa wacomoro
4. Lugha zinazotumika huko
NATANGULIZA SHUKRANI
KWA WAPENDWA WAOMBAJI, WATUMISHI, NA MARAFIKI ZANGU
Kuna Msemo Ambao umekuwa ukitumika sana Kipindi hiki tunachokiendea kuwa Januari ni Ngumu.
Mimi kwa Kutafakari na Kujiandaa Kuupokea Mwaka 2020 Mungu amenipa Kuuona Mwezi Januari katika Sifa Zifuatazo na Ninaomba Nizilete Kwako
SIFA ZA...
Wakuu poleni na mihangaiko ya siku nzima..!! Msaada kwa aliye na sample ya form ya usajili wa mchezaji wa mpira wa miguu, naomba anisaidie..!!
ASANTENI !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini za mida hii wakuu..!!
Natanguliza pole kwa mihangaiko ya siku nzima ili mradi tu mkono uende kinywani..!!
Ilikuwa mwaka 1999 nikiwa shule ya msingi likizo ilinibidi nikamtembelee bibi na babu kizaa mama angu huko kijiji cha Nyakagomba Butundwe wilayani Geita, katika kijiji hiki watu...
Ukimtumia mama yako shilingi elfu kumi
atakwambia,"mwanangu Mungu akubariki
sana akuzidishie hapo ulipotoa pajae tena"
Wale wengine sasa ukimtumia shilingi elfu ishirini kinachofata ni kukwambia.,"mbona hujatuma ya kutolea sasa unadhani ni mi naitoa wapi?"
Muda mwingine laana na mikosi...
1: Tumeshuhudia kigo cha pambo la video Masogange, watu wakazimia huku wameshika vitambaa dah bongo muvi hii..nenda tu april
2: Tumebahatika kuona waliozalishwa wakatelekezwa wamejaa kwa mjomba ila hatujui wamepotelea wapi...april tutakukumbuka
3: Yakatangazwa maandamano,kikatangazwa kipigo...
Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis ndio neno refu kuliko yote katika kamusi ya kiingereza likiwa na herufi arobaini na tano. Maana ya neno hilo ni ugonjwa wa mapafu unaosababishwa na kuvuta hewa ilio na chembechembe za silicon kutoka katika mlipuko wa volkano.
Ipo siku utakuja kukutana na mtu ambae atakufanya usahau maumivu yote ya mapenzi ambayo umepata kukumbana nayo. Ambae atakufanya uwe na furaha Ambae atakuja na kukupenda pasi na kikomo licha ya hali ulionayo. Utakuja kumpata ambae atajivunia kuwa na wewe na kuwa tayari katika mahusiano na wewe...
MAMBO KUMI(10 ) NINAYOJIFUNZA JANUARY
1. Kumbe waweza shinda njaa bila kufa.
2.Kumbe waweza beba chakula na kwenda nacho kazini.
3. Bila boda, Bila bajaj unaweza tembea na kufika Kazini.
4. Tafadhali nipigie ni huduma ya msingi
5.Nyama ni mbaya kwa Afya yako.
6. Jiko la mkaa linapika...
2016 NENDA BABA TUNASHUKURU KWA YOTE.
1.yametumbuliwa majipu mpaka chunusi nenda baba.
2.umefanya kabeji iwe nyingi kuliko nyama siku ya Christmas nenda baba
3.umefanya tujue kulikuwa faru john na faru hadija yatosha baba
4.ajira imezidi kuota mbawa,baba wasalimie mwambie 2017 akija anisajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.