hii unayosema ni kweli hata mimi iliwahi nisumbua ila kuna jamaa Mbeya akarekebisha sensa hadi leo inapiga safari fresh kabsa nafanya tu service ya oil basi
Habari za wakati huu wakuu!
Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil mfano kwa wiki tatu unaweza kuongeza oil mara moja na hakuna leakage yoyote.
Na nini kifanyike ili kuzuia tatizo hili?
kuna gari kama bmw 3 series ya 2005 haina kabsa temperature gauge mkuu, wala haina hicho kitaa cha blue ili kupata temp yake lazima uaunlock code za temp ndo unaweza ona temp yake
Wataalam habari za wakati huu! Poleni na majuku yenu ya kila siku.
Naomba kujuzwa je ni sahihi joto la engine ya gari kuwa 108 degree centigrade then linashuka hadi 106 hapo nikiwa naendesha sasa naombeni kujua kama hili joto ni kawaida au kuna shida mahala.
ASANTE
Wakuu hanarini za asubuhi, natumai mmeamka salama. Naomba kujuzwa nahitaji kufanya service ya kawaida kwa gari ya ulaya, gereji gani nzuri Mbeya yenye utaalam wa gari hizi?
Asanteni.
Dec nilisafiri from Dodoma to Chato, nilitoka Dom saa tisa alfajiri then nikaingia Chato saa nane mchana via kahama. Gari ilikua IST, speed ilikua ni 120km/hr na mara chache nilifika 140km/hr japo ile njia ya Singida polisi wengi sana barabarani hadi kero[emoji23]
Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.