Pamoja na mapungufu yote ya mwanadada huyu nguli Wa sheria bado hajawahi kutukanwa ndani ya bunge , mwanadada huyu aliandamwa sana na baadhi ya wabunge kuwa alikuwa anabinya kanuni, ilifikia kipindi hadi baadhi ya wabunge wakammiss spika wa bunge mhe ndugai lakin kilichotokea Jana nashindwa...
Jaman kuna simu yangu inaonyesha hayo maneno nikitaka kuinstall WhatsApp apps, so hata ukibahatika kuinstall bado kupitia WiFi bado kusend text inasumbua.
Msaaada tafadhari
Great thinkers tutegemee nn kwenye bunge litakaloanza hiv karibuni? Je hoja za msingi zitawekwa mezani tayari kwa kujadiliwa au Dada yule atachukua mbeleko yake tena? Je ikitokea Dada yule akachukua mbeleko tena kwa haya yanayotokea nini kifanyike sisi kama wanainchi?
Akihojiwa na Ayo tv Jana, Msukuma alidai kwa walichokifanya watu wanaodaiwa ni askari kumuonyesha bastola mhe Nape ni sahihi kwani kitambulisho cha askari yeyote ni bastola au bunduki hivyo Nape hakupaswa kuwa na shaka maana walikuwa wanamlinda. Msukuma alienda mbali zaidi na kusema hata yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.