pole kaka,naona kila mtu anakukaripia utadhani kila mtu humu ndani ni msafi,usimnyooshe kidole mwenzako hali vingine vinakugeukia wewe...
cha muhimu ni wewe kama sio mtu wa ibada sasa ni wakati wako wa kumrudia Muumba wako,nenda msikitini au kanisani fanya maombi definately utamsahau huyo hawara...
angalia wa kumuomba ushauri,mtu mwenye matatizo ya kimapenzi au asiye na mpenzi sio mtu wa kumwomba ushauri otherwise awe ni mtu mwenye busara zake...moyo wa mtu unaficha mengi na siyo kila rafiki unayemwona anakupenda akawa anakupenda kweli au kukutakia mafanikio katika maisha yako ya kimapenzi..
Inna lillah waina illaiya rajiuun...yeye ametangulia na sisi tutafuatia,dunia ni mapito jamani tuishi vyema jamani na tuijenge dunia kama tutaishi milele au tujiandae kwa maisha ya akhera kama vile tutakufa kesho......
ni hayo tu!
tangazo jipya la zain kuwaita wateja wa kigari kidogowahamie kwenye gari kubwa lao yani wateja watoke tigo waende zain,sasa wajipange vizuri kwa kuwa wameshachelewa...
Dr.Justine Katunzi wa UDBS,siku ya tukio(alhamisi) marehemu alikuwa anafundisha darasani (MBA 2year) bahati nzuri alikuwa amekaa ndio akadondoka baada ya kuishiwa nguvu,inasemekana ni presha na vitu kama hivyo.kwa hiyo alifariki wakati wanampakiza kwenye gari ili kumkimbiza hospitali.Mwenyezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.