Nahitaji mashini za kutengenenea furniture kama kuranda mbao, kukata, kutengeneza urembo aina tofauti etc. Nahitaji kwa ajili ya matumizi yangu kwa order za wateja tu.
Tunahitaji mtu wa kulisemea hili. Uzuri lina affect kundi kubwa la watanzania. Nasikitika sana kuona polisi wakijitengenezea mapato yasiyo rasmi kwa utapeli kabisa. Barabara ya Nzega to Kahama ndio worse
Kweli inaudhi sana na ni wizi. Jamani hatuna jinsi tunaweza kupata msaada wa kisheria hata ikiwezekana tukatafuta namna ya kuchangishana. Pia hata bungeni wawakilishi wetu watusaidie jamani.
Nimetumia iphone na macbook kwa muda mrefu sana na najua unamaana gani. Hii ni simu ameitumia dada yangu tokea ikiwa mpya kwa miaka kama 3. Mimi ni mtu mzima na mfanyakazi kwa zaidi ya miaka zaidi ya 15 sijawahi na sitawahi kutumia mali ya wizi
Salaam sana wapendwa,
Niliupgrade program ya macbook ili nipate version mpya, niliporestart computer ina request password kisha ina load program lakini haifiki mwisho. Niliiacha siku nzima bila mafanikio.
Pia nina iphone5 ambayo ilikuwa inatumika vizuri tu, bahati mbaya aliyekuwa anaitumia...
Nafikiri, unachokisema ni kweli. Inaonekana group linalompinga lina nguvu nyingi sana na hasira kwa kitu ambacho ni cha kawaida. Kama professional certificate yake ingekuwa fake hata mimi ningejiuliza maswali lakini cheti cha IV kwa NEC Tanzania ni kitu cha kawaida wala sina tatizo na hilo...
Salaam sana,
Nimeinstall office software 2010 kwenye computer yangu, sasa inahitaji activation keys. Naomba msaada wa yeyote mwenye key. Nahitaji mbili pamoja na mwenzangu ofisini.
Ninashukuru sana,
Godfrey
Na mimi pia nimeliona hilo, sioni Makonda alichokikosea zaidi ya wabunge kutaka kumkatisha tamaa. Ningemuomba Rais pia aendelee kumpa support ili vita hii ambayo Makonda ameianzisha isiishie njiani
Mimi inanisikitisha sana na kunikatisha tamaa, nahisi ni mpango pia wa kukusanya mapato na kuwatengenezea rushwa polisi.
Kuna maeneo mengine unaonyeshwa picha tu sasa mimi nina uhakika gani kwamba eneo hilo lina speed limit ya 50? kama sio unyanyasaji.
Na pia nashauri tu wananchi wanaoishi...
Mimi sioni mantiki ya kuhoji sana.
Suala hili kwa pamoja serikali iliamua pesa zote za sarikali zihifadhiwe BOT. Ninaamini ina faida na hasara zake, ila tungesubili tuone kusudi halisi lilikuwa ni nini na tulipatia wapi na turekebishe wapi. Kitendo cha kwenda against ya mliyoyaamua ni usaliti...
Ushauri wangu,
Mpeleke mtoto apate chanjo, kuna magonjwa ambayo yanaweza kumshabulia mtoto akiwa ndogo hata baadae atakapo kuwa mkubwa, na yanaweza kusababisha kifo au ulemavu.
Kwa mfano: Ugonjwa wa kuharisha, kifua kikuu, surua, polio. Ni magonjwa hatari sana kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.