Hii analysis ungeifanya kabla ya 26/04 ila kwa kuwa na wewe ni post-event unataka na vyombo vya dola visubiri tukio ndo vifanye kazi yake . kwa uandishi wako unaonesha na wewe ni mtanzania wa type gan
Niliwahi kuwa na mpenzi wa hivyo alinipenda sana kama nlivyompenda ila ktk sex ningemaliza hata mwezi sina hamu nae na hata yeye angemaliza muda mrefu bila kufeel maana alikuwa mkavu na maumivu wakati wa ku-do. Sijui kwa sasa maana tuliachana.
Anataja CV na haiweki wazi kusifia sifia halafu mwishoni anaweka wazi kwamba hajapenda AG atokee kanda ya ziwa[emoji16][emoji16][emoji16]. Kuwa muwazi acha unafiki we mwandishi
Mbona mnahangaika na huyo mwendawazimu alieingia Forex kichwa kichwa kwa hela ya kukopa akafanya gambling akablow akaunti kwa sasa amejaa hasira tu. Don't give him any more attention maana Forex anaifahamu ila imemshinda. Masikini wengi wana roho mbaya
Jaribu kutafuta wanawake wa level za chini mfano hao wanachuo jifanye kama siyo level zako nenda mtaani karibu na chuo tafuta mwanamke najua utakubaliwa tu. Then ukishawazoea wale wa level za chini badae utapata ujuzi na confidence za kuwapata hao wanachuo otherwise lazma wakupige chini tu
We jamaa ni mnafiki sijawahi kuona hapa duniani. Yani kinachokuuma ni watu kuwashawishi wenzao kupata ujuzi mbadala katika kutafuta mafanikio!!! Mtanzania halisi wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.