Mim zaman Nilikuwa naaamini Kama mungu yupo lakin Nilikuwa siamini Kama mungu anajibu maombi sababu mim at that time sikuona majibu kutoka kwa mungu japo Nilikuwa nasali mno like hell dah baaada ya kipind kirefu nimekuja kuamini Kama mungu yupo anajibu maombi mwaka huu I can make 60$per hour...
usikate tamaa !kwa hicho kidogo ulichonacho wasaidie iko iko na mungu atafungua njia.mlilie mungu usiku wa manane afungue njia zako ,zile ibada za satisa na sanane muombe kwa dini yako mungu atafanya njia .
wazaz ndio mungu wa pili hapa duniani ,kuna mahala unakosea jitafakari,labda nimambo ya kiroho yapo hapo katikati sometimes bhana kuna watu wanamazabau nyie ndizo zinaharibu kila kitu.
wanaachana kama utakuta mwanamke ameamua ku move on.huwa hawarudi nyuma afu ulimtendea ovyo ukamtelekeza akaja kuwa financial stable uyo akikuacha ageuki.na majina ya watoto anabadilisha
mim haijawai nitokea ,sema kuna jambo nimeongea kwa mtu ambalo linatakiwa kutokea mwisho wa mwaka sijui litatimia au ndo gundu za kuwaambia watu zita take over
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.