Ukiona mtu bado unafikra ya kufumania, au kulumbana na mwanaume mwenzie kwenye simu, au ana kwa ana kisa mke au mpenzi ujue mwanaume huyo ni maskini sana wa kifikra, maskni wa kifedha, mshamba na dunia ya Leo!
Hizi ni kiki za forex kuitangaza, na kumtangaza Ontario, inaonekana wamemkubali dogo anapiga kaz vizur, acha wamtangaze kwa wabongo
Hizo ndo mbinu za international business
Tatizo nyinyi vitoto vya jujuz taaabu tu hata historia hamsom
Genetics unajua?
Unajua maana black Africa
Unajua maana ya Apartheid policy in SA???
Hao Dutch unajua walitoka wap na wamekaa mda gani? Walifuata nin?
Wewe black ukienda China na mkeo cheusi mkaa miaka 80, mkazaa vitoto vyenu vyeusi...
Ukitaja south Africa, hapo kuna mzungu na African
Dutch sio ndugu zako hao,
Sawa na Arabs sio ndugu zenu hao
Sisi tunataka ubunifu wa black Africans
ila ubunifu kwa mtu mweusi ni kaz kama mpaka Leo hii hata choo ni tatizo
Mfano Tanga - bado wanakunya vichakani, hiyo nuclear bombs or whatever...
Post kama hizi zinatoa shule tosha,
Majibu yanayotolewa humu watu tuliyasomea kwa mamillion ya pesa,
Leo hii watu wanayapata kwa mb za jero
Faida hizi rais wenu hazijui analeta figusufigisu kufungia mitandao,
Stupid Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.