Zitto binafsi pia namkubali miongoni mwa best mp's and l can put him infront of Mh. Mnyika. Lakin ndugu yangu umejibu kishabiki bila kuheshim michacho ya mh. Mnyika ambayo pia imemfanya watu wamuone kuwa naye ni best Mp. Sio kila mda ni wa kushindanisha watu tuuuuuuu. Kila mtu tumuheshimu kwa...
Huyu jamaa siwezi kumsahau kama ni majembe huyu jamaa ni jembe. Nikikumbuka mgomo mmoja hivi wa kupinga kuchangia 40percent, serikali nzima ya daruso ilirud nyuma jamaa akaongoza mapambano mwanzo mpaka mwisho. Pamoja na vitisho na kuitwa ikulu mara kadhaa jamaa alisimama imara! Naamini majukumu...
Nakumbuka zitto aliomba mwongozo kwa mwakilishi wa katibu wa bunge ambae wakiambatana nae kuhusu hili swala. Na huyo mwakilishi wa katibu wa bunge alisema PAC ina haki ya kuzipata hizi nyaraka zilizoombwa.
Inasikitisha pale ambapo unaona mhariri anaelezea jambo tena ambalo anajitetea yeye mwenyewe halafu anaacha maswali mengi na kuongoza doubt katika hilo jambo. Apa kuna mambo mawili either incompetence ya mhariri au kubadili ukweli kuwa uongo ni kazi. Nilikuwa 50-50, na sasa upande wa yericko...
Haya ndio maswali sahihi kwa mtu makini, na kwa mtindo huu ni rahisi kupata majibu sahihi kutoka kwa mtu makini. Na kama hivyo ndivyo basi hutamsikia mhariri akijitokeza kujibu na akijibu atajibu vitu vingine lakin sio hili lako mkuu.
Hapana sababu kuu haikua hiyo, mapato kwa mwez yaliongezeka kutoka bilion 28 mwezi september mpaka kufikia bilion 50 mwez december. Ni almost mara 2, sababu ya msingi ni kusimamishwa kwa maofisa 16 pale bandarini. Kwa hiyo mizigo nayo iliongezeka mara 2?
Ukisema hajafanya lolote unakosea, je wajua mapato ya tra bandarini baada ya mwakyembe kuichukua bandari yamepanda kwa kiasi gani? Usiendeshwe na hisia zaidi kuliko uhalisia. Isiwe tu ilimradi mtu atukanwe na kuchafuliwa, hajafikia kufanya vizur sana ila ktk wizara yake anajitahidi na kila mtu...
Kumtukana na kumkashifu mtu si vema mkuu, umeamua kuniita famba. Tatizo mnapenda kuongea kwa nadhalia, unamrefer mtu akasome table iliyoko kweny design manual ya geometric design. Sasa hapa unamaanisha wachangiaji wote ni wahandisi tena civil engineer? Halafu unasema unataka elewesha watu...
Kwanin wew usiilete hiyo design manual hapa, huwez ukaweka upana wa 4m halafu hiyo barabara ikawa ni 2 lanes. Kuna kitu wew hapo ndo ujaelewa kweny hiyo manaul. Sasa iweke tukusaidia kuienterprete hiyo table.
Halaf pia mnatakiwa kuelewa kwamba swala la msingi hapa ni kujengwa mita tano tofauti...
Kosa liko wazi sehemu muhimu za kupata majibu sahihi ni 2 tu
1. Sheria inasemaje kuhusu ujenzi wa barabara kuu. Jibu lilishapatika kwa wadau kuweka vifungu husika.
2. Design iliyofanyika ya hii barabara inatoa muongozo gani katika ujenzi wa hii barabara. Jibu limeshapatina na attachment ya...
Binafsi sijaenda na nadhani so far hakuna alieenda maana angetupa majibu nini walichosema. Lakin kwa serikali makini, nipashe walishareport na lile lilikua tayar swali kwa wanaohusika na tulitegemea watoe majibu kwa umma. Maswali ya umma uulizwa public kama walivyofanya nipashe lilikua ni jukumu...
Mkuu katika hili watu wanajenga hoja kwa facts, watu wameweka vifungu vya sheria za barabara, imewekwa typical cross section ya mradi kwamba nini kilitakiwa kujengwa. Lakin wewe unakuja na maneno tu mara world bank sio wajinga wangefuatilia kujua hela zao, na sasa umekuja kusema inategemea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.