Nahitaji mwanamke anaejua nyimbo za Romantic za miaka ya 1990's kuanzia za Boyz ll Men,Mariah Carey,JoDeS,KCi &Jojo,90', Ncyinc, Saveg garden,n.k.awe anazijua lyrics zake kwa sana ili tuweze kuzisikiliza kwa pamoja na kukumbuka yale yote yaliyokua yakiendelea enzi hizo kuanzia kwenye media...
Watanzania wenzangu tuendelee kujikinga na Covid -19 kwa kupiga nyungu ili kujiwekea kinga mwilini dhidi ya maambukizi haya yanayoitikisa Dunia yetu ktk kila nyanja.tusingoje kuletewa dawa ili halu na sisi tunazo njia mbadala za kuweza kujikinga ..nyungu ngungu na dawa zetu zote za asili...
Nilikua na demu mmoja hivi tuliingia kwenye mahusiano ya kimapenzi tukiwa secondary miaka ile ya 98 na kwa kweli tulikoleana ila baada ya kumaliza shule yeye alienda kusoma kenya na kwa muda mrefu hatukuwahi kuwasiliana.pindi aliporudi masomoni alirudi na mtoto na nilipojua alijaribu kunikwepa...
Kwa kipindi kirefu hua najiulizaga bila kupata jibu sahihi ya namna ambavyo usomwagi wa taarifa za habari kwenye tv..hua zinarekudiwa kwanza na kueditwa kabla hatujarushiwa sisi watazamaji au zinakuaga ni matangazo ya moja kwa moja kama ilivyo kwenye radiio.! Na kama ni matangazo moja kwa moja...
Kuna huu msemo ninaokutana nao humu kwenye mada ya mahusiano kujamiiana na kungonoano wa kupiga tako mbili.hivi hiyo tako mbili inapigwaje jamani kwa wale wajuzi wa hizo tako mbili..kuna mwingine ulienda mbali zaidi kwa kusema "kupiga Abiola".. Karibuni wakuu kwa udadavuzi wa hii kitu
Sent...
Kuna huu msemo ninaokutana nao humu kwenye mada ya mahusiano kujamiiana na kungonoano wa kupiga tako mbili.hivi hiyo tako mbili inapigwaje jamani kwa wale wajuzi wa hizo tako mbili..kuna mwingine ulienda mbali zaidi kwa kusema "kupiga Abiola".. Karibuni wakuu kwa udadavuzi wa hii kitu
Sent...
Kwa kipindi kirefu hua najiulizaga bila kupata jibu sahihi ya namna ambavyo usomwagi wa taarifa za habari kwenye tv..hua zinarekudiwa kwanza na kueditwa kabla hatujarushiwa sisi watazamaji au zinakuaga ni matangazo ya moja kwa moja kama ilivyo kwenye radiio.! Na kama ni matangazo moja kwa moja...
Nilikua na demu mmoja hivi tuliingia kwenye mahusiano ya kimapenzi tukiwa secondary miaka ile ya 98 na kwa kweli tulikoleana ila baada ya kumaliza shule yeye alienda kusoma kenya na kwa muda mrefu hatukuwahi kuwasiliana.pindi aliporudi masomoni alirudi na mtoto na nilipojua alijaribu kunikwepa...
Kutokana na jina la Dr. Shika kugonga vichwa vya habari na kuwa gumzo miongoni mwa matukio ya kitapeli,nini kifanyike sasa ili kudhibiti matukio kama haya yasirudie tena kwenye mambo muhimu na yenye maslahi mapana kwa taifa.Dr.Shika alihujumu uchumi kwa tukio lile au alikwamisha shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.