Kwa hiyo mkuu punde tutakua na hekau tuwaalike wayudi watemane na yerusalem yao wawaachie wapalestina na hamasi yao wajimwae mwae.kweli hii kali na kiboko yake ila na wapestina nao wakitaka bongo iwe pia yerusalemu yao ya msikiti wa al aqsa itakuaje
Ingekua ni huku Chuga tayari wanachuga wangekua wamezingira nyumbani kwake na mawe kama yule Dangote alivyozua taharuki akiwa maiti ikabidi azikwe kwa siri watu wasijue kaburi lake.Chuga hainaga mbili kwenye moko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.