Haya ni malalamiko yangu kwa uongozi wa stendi ya Somanda Wilaya ya Bariadi Mkoa wa Simiyu leo mida ya saa kumi na mbili asubuhi kuna jamaa amepita kwa bahati mbaya juu ya nyasi zilizopandwa kwenye eneo la standi na amepita bila kuelewa maana hamna bango lililoandikwa kwamba usikanyage nyasi...
Mimi naishi simiyu nina tatizo la umeme nyumbni kwangu tokea jana limoti yangu inaandika 000000000 kama vile umeme haupo ila kwa majirani upo kwangu tu ndo haupo nimejaribu kuwapigia wa emergency katika mkoa wangu sijafanikiwa kuwapata namba zao zote hazipatikani. Je kwa ili tatizo nitumie njia...
Kama basi kukiwa na hiyo thesis inayohusu Mungu huyo atakuwa sio Mungu maana ya Mungu ni mwenye nguvu kuliko wote sasa binadamu tunawezaje kutambua kitu kilichotupita uwezo mara trioni na Matrioni mengi.
Sekretarieti ya Ajira inatoa siku chache kuita watu kwenye usaili mfano kada ya sheria majina yametoka jana tu leo watu waende kwenye usaili hii imekaaje mtu anayeishi kigoma kwel ataweza kushiriki huu usaili?
Usitake kuonekana mwelevu kufanya kufuru ili ufurahishe watu au kikundi fulani nakushauri usijitafutie laana kwa haya maandiko yako maana hasira ya Mungu ni kali sana tubu jiepusha na hizi kauli (acha kumfanyia kazi shetani kupotosha kondoo wa Mungu ) usipo sikia ipo siku na saa utakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.