Wakuu, kuna muvi ya Eddie Murphy ya mwaka 1988 ya Coming To America. Murphy (Akeem) akiwa Prince wa Dola ya Kifalme iitwayo Zamunda.
Je, hii Dola Ilikuwepo? Bado Ipo? Inapatikana wapi? Au Ilikua ya Kusadikika?
Msaada Please Wakuu
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo...
James (Lakers) amekuwa captain ktk allstars kadhaa akiwa Eastern Conference ambazo amecheza dhidi ya Western Conference. Sasa ameteuliwa kuwa nahodha wa kanda ya Magharibi kwenye NBA All-star 2019 huko Charlotte baada ya kuhamia Lakers iliyopo kanda hiyo ambayo kwa Mara kadhaa imekuwa chini ya...
Ndugu zangu wanaume wenzangu tunaoishi na kufanya shughuli zetu hapa Dar, sasa hivi tumekuwa tunashambuliwa mno mitandaoni na watu wa mikoani hasa wanaume wenzetu wanaoishi mikoani na pia hata wanawake wa huko mikoani. Wamekuwa wakitudhikahi kuwa sisi tumekuwa laini laini, lonya lonya tusioweza...
Msaada kwa wanaofahamu na wale waliokwisha kwenda. Ni taratibu zipi unapaswa kuzifuata unapotaka kwenda Vatcan City (Rome - Italy) kufanya utalii. Tukianzia hapa nyumbani, kuna agents wanaosaidia taratibu za kwenda huko kama walivyo maagent waliopo hapa Dar wa safari za kwenda kufanya utalii...
Ni mtu mwenye asili ya Korea, ni mkorea kabisa kimuonekano ila ni raia wa Marekani. Alikuwa recruited ndani ya Secret Service, Alipitia mafunzo maalumu akafuzu, Akashiriki katika operations nyingi Ndani na nje ya Nchi ya Marekani na mwishowe akaaminiwa.
Obama alipokuwa Rais, Mkorea huyu...
Habari za jioni, nahitaji msaada kwa hili kutoka kwenu wachambuzi wa masuala haya ya siasa, harakati na usalama.
Hivi Mwanasiasa/MwanaUsalama/Mwanahabari/ Mwanaharakati anapopata hifadhi ya kuishi uhamishoni anakuwa anagharamiwa na nani huduma za chakula, malazi na masuala mengine ya maisha...
Huyu jamaa ni balaa. Kwa tukio la leo kwenda ikulu na kuonana na kuzungumza na Raisi, kwa magwiji wa siasa ni kete kwa upinzani na wana CCM ni pigo. na kwa waona karibu na wasiopenda kusumbua akili wanadhan ni kilio kwa upinzani na furaha kwa CCM. kwa wale magwiji wa CCM wanaoijua Siasa tukio...
Binafsi najiuliza hivi kuna mantiki gani kwa wanawake walioolewa kupost picha nzuri nzuri na tamu tamu mitandaoni? Tena unakuta page/akaunti yake ina picha zaidi ya 300 lakini hakuna hata moja ambayo amempost mume wake.
Ukikuta amepost picha ya mwanaume lazima captions ziwe happy birtday my...
Ana nyimbo nzuri sana, ni mtunzi mahiri sana wa mashairi na pia dogo ana muonekano, but siku zote kitu kitakachokufanya aendelee kuonekana wa kawaida na hakui kimuziki ni theory flan inaitwa "playing as a son of". theory hii kiukweli ndio ilimkimbiza neymar pale barcelona, japo ni waandishi...
Wakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati ya Barrick/Acacia n'a Serikali ya Tanzania. Kazi ya Bodi hii itakuwa ni kutoa Ushauri katika...
Leo katika kanisa la Ufufuo na Uzima Yule askofu machachari Askofu Gwajima amejibu mashambulizi ya hotuba ya RC wa Dar Es Salaam yaliyofanyika television ya Star TV majuma kadhaa yaliyopita. Amechambua hotuba yote aliyofanya RC pale Star TV, ameeleza elimu ya Nape Nnauye, amechambua tukio la...
Kama ingekuwa kwenye soka Basi Rais Magufuli angekuwa ni Florentino Perez, ambaye ni Rais kichwa wa Club ya Real Madrid anayetumiaga akili sana kusajili pale Santiago Bernabeu.
Rais Magufuli kumteua Bi Mghwira kuwa RC Kilimanjaro Na Prof Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ni Usajili...
Habari zisizo rasmi (Tetesi) ambazo zina chembechembe nyingi za kuaminiwa kutoka kwa watu walio karibu na Mamlaka za uteuzi, zinadai:
1. Kamanda Mwanamke huenda akateuliwa kuwa Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam kurithi nafasi ya Simon Sirro
2. Ernest Mangu kuteuliwa kuwa Balozi wa...
Rais wa Zamani wa USA Barack Obama amekubali ombi la Taasisi ya Cantor Fitzgerald LP ya kumpa Dola Laki 4 (USD400,000) ili atoe speech kwenye HealthCare Conference mwezi September mwaka huu itakayofanyika Wall Street.
Jamaa ana takriban siku zisizopungua 100 nje ya ofisi ya White House na...
Habari za ndani kutoka White House zinadai Rais Donald Trump muda si mrefu atamteua Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wanamaji (US Marine Corp), Randolph Alles a.k.a Tex kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo (Secret Service General Director). Jeneral Mstaafu Randolph Alles ni Jasusi...
Marekani ina jumla ya Military Bases (Camp) katika nchi 150 Duniani lote. Imesambaza wanajeshi duniani kote katika camp hizo bila kusahau Silaha na Majasusi. US wameizunguka dunia kona zote.
Zifuatazo ni US Military Bases ambazo zina wanajeshi zaidi ya Laki moja;
1. Afghanistan
2. Japan
3...
Uvamizi wa Marekani chini Korea Kaskazini waamriwa Rasmi. Kabla ya kuingiza aina zingine za Majeshi ambayo yako tayari kwa vita, Pentagon yaamrisha Big 4 Aircraft Carries zilizobeba makomandoo na ndege hatari za kivita zianze kuingia katika bahari ya North Korea mchana wa Leo. Eneo hilo ndilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.