Ebu tueleze kidogo kuhusu hii biashara, commission yake ikoje! unaweza pata faida kiasi gani kwa mwezi au unawanufaisha tu mwenye mitandao? hasa Airtel money ambayo hakatwi mtu, commission hapo inatoaka wapi!
Yaani unataka kuniambia una umri zaidi ya miaka 35 na ujawahi kufanya interview! walisema kwenye hii post waombe kuanzia umri wa miaka 35 mpaka 40! ok, all the best, we tulia tu na uwaoe kama watu wa kawaida tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.