Ndugu zangu tusipoamka mapema tutajikuta tumepaluliwa kila kitu, betting imeingiliwa.
Tutafute vyanzo vingine vya mapato,
Liverpool ni wa kushindwa kutoa goals mbili kweli? Mamake
Wakuu nina open bets 30[emoji16][emoji16]
Ntakua naleta mrejesho maendeleo yake.
Wale wazee wa kuomba bukubuku nikishinda hata mkeka mmoja tutagawana umaskini hata kwa watu kumi.
Naona hawa watangazaji wanaoongoza hiki kipindi ni kama kuna maelekezo wamepewa, maana wanakatisha hoja zenye mashiko za wachangiaji... Kiufupi ni team CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.