Kwa matukio haya ya utekaji mfano Roma Mkatoliki, kupotea kwa watu mfano Ben Saanane, vitisho ikiwemo kitendo cha kuoneshwa silaha (bunduki) kama kitisho kwa Nape na hadi sasa hakuna aliyefikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa matukio la Roma na Nape na sasa tumeshuhudia jaribio la mauaji la...
PRESS CONFERENCE:
Kesho Tarehe 6/9/2017 saa 5 Asubuhi katika Ofisi ya Wabunge wa CUF, Magomeni -Dar es Salaam. THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi) Kitazungumza na waandishi wa Habari kuelezea masuala mbalimbali yanayoendelea nchini. Pia Wabunge 8 wa Viti Maalumu walioondolewa...
Written by Mwl Razaq Mtele Malilo
The supreme court's verdict on annulling Kenyatta's winning was dextral in accordance of peeps' constitution and provided for the sake of shunning Kenya not to skydive into another melee.
We certify Kenya propels into prodigious political change not for the...
Written by Mwl Razaq Mtele Malilo.
I termed Kenyatta as the father of democracy in East and Centra Africa, but now he starts to speak hocus pocus.
Kenyatta must acquiesce the supreme court's decision though it is sturdiest judgement and cataclysmic event come to pass for him but the supreme...
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.
Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa...
KILICHOTOKEA UCHAGUZI WA DARUSO-MLIMANI (UDSM) NI ISHARA KUWA CCM IMECHAKAA
Na Mwl Razaq Mtele Malilo
Tarehe 20/4/2017 kulikuwa na uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (CKD) maarufu kama UDSM, uzinduzi uliofanyika katika viunga vya...
KATIBU MKUU, MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA HOTELI YA RAMADA:
=========
11:30: Maalim anaanza kuzungumza
Nimekuja kufichua mbinu chafu za Lipumba"
Takriban wiki sasa nimekuwa na ziara ya kuimarisha chama Unguja na Pemba. Nimekatisha ziara ili kuja...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF–Chama Cha Wananchi)
THE DIRECTORATE OF INFORMATION, PUBLICITY AND PUBLIC RELATION
P.O.BOX 10979 DAR ES SALAAM
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa leo Tarehe 13/3/2017
Na. Kurugenzi ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma-CUF Taifa
MAPITIO YA...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-CHAMA CHA WANANCHI)
JUMUIYA YA VIJANA (JUVICUF)
CUF VYUO VIKUU TAWI LA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (MLIMANI-UDSM)
PONGEZI NYINGI KWA WANALINDI, CUF NA UKAWA KWA UJUMLA
CUF Chama Cha Wananchi tawi la Mlimani Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam tunayofuraha kubwa juu ya...
JUMUIYA YA VIJANA (JUVICUF)
CUF TAWI LA CHUO KIKUU CHA DSM - UDSM (MLIMANI)
inawajulisha wanachama wote wa CUF na watanzani wengine kuwa tumeunda ukurasa wetu maalumu wa Facebook ujulikanao kama
CUF-TAWI LA MLIMANI - UDSM
Ili kupata taarifa zetu tafadhali fuata hiyo link ili kupenda au...
OMARI S KUMBILAMOTO DIWANI BORA AIGWE NA VIONGOZI WA KISIASA NA SERIKALI
Anaandika Mwl Razaq Mtele Malilo
Leo January 8-2017 nilihudhuria mkutano wa hadhara wa diwani wa Kata ya VINGUNGUTI ambaye pia ni naibu mstahiki meya wa manispaa ya ILALA kwa tikiti ya CHAMA CHA WANANCHI CUF MHE OMARI S...
MAX MELLO MWANA MAPINDUZI WA TANZANIA.?
Na; Noel C Shao
Katika historia ya dunia tuliwahi sikia historia za wana mapinduzi, mateso waliyo wahi yapata na njia zao katika kufichua uovu, Hasa wa tawala kandamizi duniani. Wanaharakati wengi ni wafuasi wa haki dhidi ya dhuluma, ni nuru katika...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-Chama Cha Wananchi)
JUMUIYA YA VIJANA-JUVICUF
CUF VYUO VIKUU TAWI LA MLIMANI (UDSM)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
imetolewa Leo tarehe 16/12/2016
Kutokana na taarifa za upotoshaji zilizotolewa 15/12/2016 zilizotolewa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina la...
Ameandika Mohammed Ghassani
WATU WASOJULIKANA
Usiombe wakujuwe, watu wasojulikana
Wala wasikutambuwe, kwa sura wala kwa jina
Wawe mbalimbali nawe, kwa usiku na mchana
Sababu wakikujuwa
Watakuja kuchukuwa
Kipoloni wakutie
Chatu wakamrushie
Nyamunyamu akakule
Nyafunyafu akumeze
Hao watu...
Nafarijika na Maneno ya aliyekuwa Rais Wa Afrika ya kusini na Baba Wa taifa hilo, Mzee Mandela aliposema "It is through education only that a son of a very poor farmer can become the President of a great nation" Mimi na watoto wenzangu Wa wakulima tuikazanie elimu huenda ikaja kutufanya tukapata...
MSIHOFU MWANGA UNAKARIBIA
Kwa wale waliosoma historia ya Mapinduzi ya Ulaya miaka ya 1600 waangalie zile sababu za mapinduzi hayo na kisha wafananishe na hali ya sasa katika nchi.
Mtajifunza kuwa ukiona giza totoro ujue asubuhi inakaribia.
We shall marry when we want.
"When injustice...
STATEMENT CONDEMNING THE DETENTION OF MR MAXENCE MELO, DIRECTOR OF JAMII MEDIA BY THE POLICE FORCE -14th/12/2016
We Human Rights Defenders in Tanzania are disatified with current Government behavior on human rights, democracy, freedoms and liberties of its people. We jointly condemn the...
ETI GAZETI LA TANZANIA DAIMA LIMEANDIKA "LOWASSA: TB JOSHUA AMETUTABIRIA USHINDI 2020"
MIMI NAMWAMBIA LOWASSA AACHE SIASA ZA SIASA.
Anaandika Mwl Razaq Mtele Malilo.
Kwa wale waliokaribu na Lowassa nawaomba mwambieni huyu mzee wetu kuwa sisi kwa sasa tunajielewa na hizi bra bra aache afanyi...
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.
Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.
Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.
Katiba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.