ikiwezekana aache vyote
mwanaume ajawai kunipa ata sh kumi yake ni mimi tu wa kumsaidia
akiwa na shda mapenz yanapanda sana lakin akiwa na ela anakuweka kando mpk akiishiwa ndo mahaba utayaona
kuniomba nauli pia spend y asiwe anaifadhi pesa zake?yeye zote ananywea afu mimi ndo wakufiks...
mimi ni msichana nina boyfrend wangu ambaye mapenz yetu yameanza tangu tukiwa udsm mwaka 2004-2007na mpaka leo tunaendelea,mimi nilikuwa wa kwanza kupata kaz 2009 na yeye kipindi chote alikuwa yupo tu mpka alipoenda jeshin na kukamishen mwaka jana .
matatizo yanayonifanya niombe ushauri ni kama...
yep kweli dzain anataka kuchomoka lakin anashndwa cz anaogopa watagawana mali...wat do u wan braza?
in life kuna vtu viwil MALI NA FURAHA
if ur looking for hapness bas go ahead n do the nidful na km mali utazpata tu .sa kuna raha gan kukaa na mtu anayekukera daily?
km wewe na mali ni damu...
dah pole wangu
ebu mtume mshenga akazungumze nae kwa kireeeeeeeeeeeeefu na kumshauri nini cha kufanya katika kuendeleza ndoa yenu
sasa km awapend ata wazaz wako sasa atampenda nan jaman?
ata mtoto wako?
eLA ZA matumizi unamtumia ?
dah muwege makin mkikurupuka kuoa ndo mnabambana na ma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.