USHUHUDA WANGU KUHUSU H.I.V (kwa ufupi):
Hilo suala la mwanamke wangu kusema ana HIV halikunistua/ kunishangaza sana, kwakuwa nilishawahi kukutana na kisa cha namna hiyo kwa mwanamke mwingine miaka kama minne iliyopita, in short yeye nilikuwa nishakuwa naye kwenye mahusiano kama miezi 8 hivi...
Nina na mahusiano na mwanamke mmoja ambaye anaishi mtaa wa jirani ambapo tumedumu kwenye mahusiano kwa takribani mwaka mmoja na nusu, baada ya kuwa nae kwa miezi kadhaa tukatokea kuaminiana na kuanza kusex bila mpira, akawa amepata mimba na nilikuwa nimeplan akishazaa tuanze kuishi pamoja...
Mimi kwa upande wangu naona hizo nyimbo zote ni kiwango, so yeyote ambaye angeshinda ni sahihi. Ila kwa upande wa video wamekosea sana , haikustahili ukilinganisha na video za washindani wake mfano Don't bother ya Joh
Sijawahi ona Jide amesimama yeye kama yeye, kuna ile show alikuwa na beef kali na kina Ruge, huku upande wa kina Ruge alisimama 'Mwanafatuma', huku kwa Jide alialika magwiji kina Sugu, Nature wampe tafu. Pia hii show ya juzi Mlimani City alikuwa na kina Kiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.