Mimi siwaelewi watu wanaoshabikia upinzani kupungua bungeni. Hata kama wewe ni mfuasi wa chama tawala lazima uwe na kuridhika kwa kuwepo kiwango fulani cha upinzani. Bila upinzani mambo yatakuwa kama wakati ule wa chama kimoja. Tena tumshukuru Mungu kwani Mwalimu yeye alikuwa kama chama cha...
Hivi karibuni rais ameteua wakuu wa mikoa. Wengi wa walioteuliwa ni wale waliokuwa wabunge na kushindwa kuhifadhi viti vyao bungeni. Ndipo nilipopata swali kati ya rais na wananchi nani anamjua kiongozi anayefaa? Lingine ambalo linafanana na hili ni mtu ameshindwa kuchaguliwa na watu wa jimbo...
yapi ukilinganisha na hasara aliyoisababishia taifa? Hata jambazi linapouwawa huliliwa na wakwao. hata wangejinyonga haitahalalisha kuwa kaonewa. hatata hivyo amechelewa kujivua hayo magamba.
Mimi nimesoma ulioandika lakini sijaona hoja nzito ambayo inaweza kumshawishi msomaji akubaliane nawe. Maana umetapatapa katika mambo mengi, mara uzungumzie bidhaa za kenya, bandari ya mombasa na hata shule. Pengine wewe ni mkenya au unakosa uzalendo. Kuna sababu iliyojificha ambayo nahisi...
Mimi nilidhani Kamanda Mpinga alikuwa anakanusha kumbe anataka wazungumzie chambera. Hilo si utawala wa sheria bali ni utawala wa nani umjuae. Big up sekirasa. Hawa polisi wamefanya hii nchi ni yao wenyewe na sisi wananchi ni wakimbizi.
Ni nani anapaswa kulaumiwa kuhusu uchafu ulivyozagaa katika Jiji? Hivi karibuni nilisafiri na kuingia katika Jiji hili ambalo wengi wanasema ndilo sura halisi ya Tanzania. Kwanza nikiri kuwa nililazimika kununua karanga kwa machinga/mchuuzi. Aliniwekea kweye kifungashio chake. Mara baada ya kula...
wewe unaposikia huduma za chakula,malazi na maji ni shida kwa maana nyingine hizo ni fursa za ajira. Ukiweza kwenda na kutoa hizo huduma utakuwa umejiajiri:angry:
Ubora huo katoa nani? Na kwa vigezo gani? Maana ninachofahamu mimi nikuwa wakati mwingine ubora wa chuo waweza kupimwa kwa idadi ya wahadhiri, madarasa(lecture halls) pamoja na vigezo vingine bila kuzingatia idadi ya wanafunzi na mhadhiri, maoni ya wadau kama kweli rasilimali zilizopo zinatumika...
Nuclear energy seems to be a solution to power ration. Following the tsunami disaster and Two nuclear reactors explosion in Japan,do we still need nuclear in our country?:panda:
To be precise to the title, I would like to know the causes of riots in North Africa. Is what is happening spontaneous or planned? what are the measures to avoid this situation?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.