Makonda fanya kama kina ngwajina boy hakuna kukalia kiti hakuna kugusa mlango au miimo yake isitumie kipaza sauti na mengine riho wa Mungu atayokufunulia
Waasisi walikuwa wanatamka tanzania bara na tanzania visiwani ila kadiri miaka inavyoenda zanzibar inajitenga kwa kasi sana ila muda si mrefu Tanganiyika inarudi
Kauli ya makonda itawaibua mawaziri wengi sana ili kuonyesha hawako kinyume na sa100 lakini ukweli utajulikana muda si mrefu na maandiko wanayoandika yatakuja kuwasuta
Pasiport hata siku moja inawezekana tu wee tu ndo huelewi
Mfano ukienda lita kule wanakwambia kupata cheti cha kuzaliwa kuanzia siku 14na kuendelea. Lakini kam huna mkono wa birika siku tatu hadi Tano utapata cheti na kama unaharaka sama siku tati tu wemaliza kazi
Chamsingi ni mhimu kuwa na uelewa na mradi uliouanzisha angalau kidogo ukishindwa jiunge na jamii furom au nenda google utapata usaidizi angalau kwa machache yatakusaidia kupata mwelekeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.