Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.
Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza...
Mama Samia kuwa Makini na watu Hawa, Pinda na Kinana usiwasogeze kwenye Uongozi wa Chama, Taarifa kutoka Korido za Lumumba zinasema Ama Kinana ama Pinda kuwa Makamu Mwenyekiti, Jihadhari.
Pinda ameanza kukuchokonoa ili upate pigo la kuonekana hutaki Tume Huru ya Uchaguzi.
Kinana atakupiga na...
Bora ziunganishwe tu hakuna kazi zaidi ya kusoma magazeti. Kuongeza gharama bila sababu, Magufuli alikuwa sawa.
Huyo Mama yenu akiondoka kurudi Zanzibar Rais mwenye Akili ataifuta tu na itabaki kuwa idara kama zamani, hatuwezi kukubali vitu vidogo vitumie gharama kubwa mpaka WIZARA, for what...
Habari mbaya sana Mtaani kila Kona Rais anasemwa vibaya na mambo yanaenda Kombo, Bei ya Vyakula kama Mahindi na Mchele vimepanda maradufu Ndani ya Awamu ya Samia.
Mafuta ya Kula Bei imeongezeka karibia nusu, Diesel imepanda na kusababisha Nauli kuongezeka Vijijini, Nguo na vitu vya kawaida...
Imfikie Mstaafu Jakaya Kikwete popote alipo,
Salaam Baba habari ya MSOGA?
Nakuletea salaam nyingi toka kwa Wananzengo, Pole sana kwa Msiba wa Rais MAGUFULI, Hakika hatutasahau kazi na historia yake katika Taifa letu.
Ni wiki sasa Tangu tupate Msiba huu mkubwa kwa Taifa letu, wiki hii pia...
Taarifa iliyofikia Meza ya Habari muda huu Mbunge wa Bunda Vijijini anaemaliza muda wake amekamatwa na TAKUKURU ambao wamemkuta Mbunge huyo amekusanya Wajumbe akiwagawia Fedha Tsh. Elfu 50, kwa kila Mjumbe na akiwa amewachinjia kondoo wawili kama kitoweo.
Tukio hilo limetokea Kijiji cha Mugeta...
Huyu ni kati ya Wabunge vilaza ever, kazi yake ni kugawa Michele misibani na kulala Wanawake hasa Mabar maid.
CCM ikimrudisha Boni Jimbo zima watachagua chadema kwa mara ya kwanza
Tunatahadharisha sumu haionjwi.
"Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa.
Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma.
Viongozi hao wamefikia hatua mbaya ya kushutumiana na kuomba...
Katika hali ya kushangaza Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma Mfanyabiashara wa Jijini Mwanza ameonekana Bunda Mjini akigawa pesa hadharani.
Huku akiwa na mabaunsa, wapambe na wanakwaya wakimsindikiza Mwanza Huduma amepita Vijiwe vya Kahawa na Maegesho ya Magari na kugawa kati ya shilingi...
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.