jamani nimekutana na hii picha ambayo sikuamini macho yangu kwenye facebook ya human rights, ambayo kuna video ya kuoyesha mwanamke ambaye kakatwa katwa na mapanga kwa madai ya kumyima mume unyumba ,, imetokea sumbawanga , huyo dada anaitwa Grace senga mkazi wa sumbawanga .. jamani hivi kweli...
Wengi leo wanaamini wanasherehekea siku ya wapendanao kwa kuonyesha upendo kwa wenzi wao kwa kufanya hili na lile mradi tu ionekane kwamba anapenda / kumpenda. lakini hebu tuongee na mioyo yetu huo upendo tunaotaka kuuonyesha leo ni kweli unatoka moyoni au unafiki ndani ya mioyo yetu ?
wengi...
habari
kuna dada mmoja amenieleza kisa hiki kimemtokea hadi sasa anashindwa aamue nini
huyo dada kaolewa kwa ndoa ya kanisani miaka 11 iliyopita na wamejaliwa watoto 2 ila karibu kuna tatizo kubwa ambalo limemuuza sana . alipata ujauzito na yalikuwa makubalianno yake na mmewe watafuta mwana...
wanajamvi
nimekutana na mkasa huu nikaombwa ushauri nikaona nililete jamvini kupata mawazo zaidi..
Jamaa analalamika kuhusu mabadiliko ya tabia ya mkewe hasa makundi na ulevi . wameishi kwa kipindi cha miaka miwili tangu waoane ndoa ya kimila, mwanzo walikuwa na maelewano mazuri na hata mambo...
naombeni msaada,
hivi bunge la sasa hivi likipiga kura ya kutokuwa na imani na serikali ya tanzania kutokana na mambo mengi yanayojitokeza kama vile tatizo la umeme, jairo, ngorongoro na mengineyo ..
na wakafanikiwa kuiondoa serikali madarakani je baada ya kipindi cha mpito
uchaguzi utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.