Heshima mbele Wakuu!
Tumia Dodoki au Burashi na povu jingi la sabuni wakati wa kuoga hasa siku 2 au 3 kila unaponyoa ndevu.
Nadhani, mapele ya ndevu husababishwa na mgando wa uchafu laini mfano jasho la mwili, marashi, vumbi na hata povu la sabuni nk... Mikono/viganja haviwezi kuzibua utando...
Hayo ni maswali ya wavulana kwa wasichana. Na hatua inayofuata ni kukagua/kubadilishana simu.. (kumbafu)
Mwanaume maridhawa anafanya uchunguzi kwa namna sahihi na mapungufu ya mchumba ni changamoto ambayo unaitumia kuonyesha ukomavu ktk safari yenu ya mahusiano. Kuna wakati mwanaume unatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.