Gussie, unahitaji maombi ya mfululizo (ya nyororo).
Hueleweki na hujielewi unataka nini.
Amua moja kuwa moto au baridi, laa sivyo bora utapikwe.
Huo uvuguvugu ulionao ni hatari kwako mwenyewe, jamii ulipo na taifa kwa ujumla.
Amka ewe usinziaye, ufufuke katika wafu.
Jishangae wewe, eti unaisofia ccm kisa mwanao halipi ada ya shule ya msingi elfu 2 kwa mwaka ndio umeona la maana wakati anakaa chini darasani, baba mtu vyuma vimekaza mpk unatamani kuwekwa kinyumba ili ukwepe majukumu km baba, sasa sijui unataka nafasi ya ukaka ama umaza hausi.
Ruhusu akili...
Imagine, Mzee Sumaye kala maisha na bado anamshara km retired PM anaipondea ccm, wewe unalipi jema ccm imekufanyia la kuisifisi kama si kukosa uthubutu?
Tafuta mafuta ya simba mkuu pakaza vitambaa vifunge maeneo mbalimbali randomly shambani hasa pembezoni, hutaona nguruwe wala nyani shamnani kwako unless uvitoe hivyo vitambaa.
Wanamuogopa simba sn, watafungia break chalinze, it works but mtihani ni wapi utapata hilo wese la mfalme wa pori
Siyo kila anaeenda Kenya kumuona Lissu awe anaripoti kwako?
Mimi ni mkazi na mpiga kura wa jimboni kwa Lissu, mlipomuumiza tu Dodoma zilienda basi costa 6 zenye watu mchanganyiko, ndugu, jamaa na marafiki wa Lissu.
Taarifa imetoka kua anapelekwa Kenya, siku inayofuata zilitoka Toyota noa 3 to...
Wala copy n paste, kila couple ni composers wa style ya mahusiano yao wao wawili na Mungu kama ni wacha Mungu au shetani km ni members wake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anacheza na akili nyepesi na upepo wake huzibeba.
Mi adhima yangu ni kumgegedea mkewe ili ajue being psychologist uchwara hakutamuacha salama.
Ajikute ni km kocha tu awezaekucheza mpira mezani, uwanjani zero kbs.
Mwenye namba ya mkewe please nikaoshe rungu afu nikimaliza ntahakikisha...
Wanajamvi salamuni.
Kwa heshima kubwa napenda kuchukua fursa hii kumkumbusha mbunge wetu akumbuke akipotoka, tunajivunia weledi, werevu, umakini na uelewa mpana alionaona kwa maslahi mapana ya kitaifa.
Katika kutimiza wajibu wako fahamu kuwa jimbo lako ni kati ya majimbo ambayo yanafanyiwa fitna...
Ni mawazo na ushauri mzuri ila not applicable.
Nature ya familia zetu (extended families) na kipato kisichokua cha uhakika au kutosha (kigao kidogo cha shirika) ni ngumu sana kuset malengo badala yake wengi wetu tunaishi kwa dead lines ktk kushughulikia mambo.
Upo mjini alone au ukoo mzima we...
Salamu waungwana,
Jana nilibahatika kuangalia kupitia tv mazungumzo ya Rais wa Zambia mhe. Lungu na Mhe. Magufuli wakiwa na maafisa mbalimbali toka nchi mbili, ikawa kila mmoja alipomaliza kuongea aliulizwa maswali mawili,
Mhe. Lungu aliulizwa na mzambia, kuwa amejifunza nn kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.