Katika uwanja wa vita askari yeyote anayejiua kwa nia kukwepa kukamatwa na adui Kama mateka anastahili na ana sifa zote za kuitwa shujaa kwani anakuwa ameokoa wenzake kwa maana endapo atakamatwa na adui lazima atabanwa atoe Siri zao,jinsi ya mapigano yao,mafunzo yao, walipo wenzake(ngome)...
Sidhani kama hawana kwani hapo awali sijawahi kuona magari ya vyombo hivyo katika garage zaidi nakutana nayo sheli, ila kuhusu hili la Mh.Makonda ni kama kujitolea mwenyewe kwa gharama zake. Ila hiyo hoja ya kuyatengeneza kwa hao wahindi sidhan kama ni tatzo kwani ndiko yalikotengenezwa na...
Tembelea www.sosteneslekule.blogspot.com hapa utakutana na elimu mbalimbali kuhusiana na umeme na technolojia mbalimbali ambazo zinalengwa katika maisha ya kila siku duniani
Wasiwasi wangu ni kwamba kama tumejisahau kwamba bora hiyo hukumu ya kifo kuliko kumfunga mtu miaka 30,juzi nimesikia mhalifu aliyekuwa na miaka 32 amefungwa jela miaka 90,alikuwa na makosa matatu kosa moja miaka 30 sasa si bora auliwe kuliko mateso utakayompa hapa duniani tena akiwa gizani(jela)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.