Jana nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda Kahama kwa kutumia basi Mali ya (.......)....e bhana alipanda bwana mmoja ni kipisi cha mtu jitu kweli miraba nadhani kama nane hivi.
Ana bonge la tumbo aisee, kwa makadirio ya haraka haraka jamaa ana saizi mara mbili ya babu Lemutuz (kwa mwili sio...
Heloooo
Natafuta mashamba ya kukodi kwa ajili ya kulima mpunga (Ifakara).....yawe na uhakika wa maji
Kama unaweza nisaidia kupata au kama kuna mtu unamfaham anaweza nisaidia please naomba msaada wako...nahitaji ekari mbili...0755764161/0692760746
Heloooo...Naitwa Nick...nipo Morogoro mjini...ni mwanafunzi wa shahada ya sayansi, uzalishaji na teknolojia ya wanyama (Agricultural Animal science and production)..Mungu akipenda mwezi huu naweza nikahitimu.
Baada ya kuhitimu nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa kisasa (broilers and layers) na...
Heloooo...Naitwa Nick...nipo Morogoro mjini...ni mwanafunzi wa shahada ya sayansi, uzalishaji na teknolojia ya wanyama (Agricultural Animal science and production)..Mungu akipenda mwezi huu naweza nikahitimu.
Baada ya kuhitimu nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa kisasa (broilers and layers) na...
mimi ni mwanafunzi..chuo kikuu cha kilimo sokoine (SUA)..natafuta wafugaji wa nguruwe wanaofanya shughuli zao manispaa ya morogoro..ni kwa ajili ya utafiti wa kitaaluma (academic research) utakaofanyika mwaka ujao (2017)..kama wewe au jirani yako ana shamba la nguruwe tafadhari naomba...
kwa wale wapenzi wa Tv shows {series} za wamarekani...mara ngapi umekuta wakitumia kiswahili japo sentence mbili tatu ivi...daaaaa huwa nasikia raha sana nikikutana na hihi hali...for now..Quantico...wameanza kukitumia toka season 2 episode ya 1 sijajua kama wataendelea kukitumia...japo...
Naitwa Gabriel...ninaishi morogoro mjini..natafuta kazi yoyote ile halali...sehemu yoyote ile lakini ningependa zaidi kama ikiwa hapahapa Moro..elimu yangu ni kidato cha nne (division one)..sikuweza kuendelea na masomo zaidi kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu..naweza kusimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.