1.Bidii..(juhudi zako, maarifa Yako, uendaji kazi wako)
2.Bahati..(Mungu alivyo kupangia)
3.Watu wanaokuzunguka (familia...marafiki..wafanya kazi wenzio..kiufupi connection)
Hivi vitu vinatakiwa vibalance perfectly ndo pesa ikutembelee...unaweza ukawa na bahati but kama huna bidii na watu...
Mamlaka husika zilishapiga marufuku (mamlaka ya mbolea na mamlaka ya afya ya mimea)...wote walishazuia matumizi ya hii kitu...
Mwenye kampuni kaisajiri kama home care product (ukisoma hata madumu yameandikwa hivo) na sio agricultural product....lakini hao mawakala (either kwa kuambiwa na kampuni...
Angalia hata mfumo wanaotumia kuiuza (networking marketing)....hawataki ipatkane kwenye maduka ya pembejeo Wala maduka ya kawaida...coz wanaotumia false promotion ya super gro..wanawapotosha wakulima kwa kigezo Cha kupata matokeo...but kiuhalisia bidhaa yao haipo hivyo....
Ukosefu wa elimu na kutaka Short cut kwenye maisha (kilimo)...inafikia hatua wanaambiwa waipige mpaka kwenye ardhi kwamba itarutubisha ardhi hivyo hamna haja ya kutumia inorganic fertilizers...jamani kilimo ni sayansi na kina kanuni zake...zipo wazi na kama huzijui hebu onana na wataalamu wa...
Ukigoogle au kusikiliza maneno ya mawakala utapotea....watakuambia imewapa faida wakulima wengi Tanzania and blah blah...wao wenyewe wengi wao hawaelewi wanachokiuza na hawana utaalamu wowote wa kilimo....Yani mtu akishamezeshwa tu faida walizojitungia tayar anageuka kuwa bwana shamba na wakala...
MKUU ACHANA NA HUU UOZO WA SUPER GRO
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la watu wanaoshawishi matumizi ya super gro kama mbadala wa either mbolea za msingi au mbolea za majani (boosters). Wakulima wengi kwa kutokujua wamekuwa wakinunua kemikali hii kwa bei kubwa.Lita 5 wamekuwa wakiuziwa mpaka sh...
MKUU ACHANA NA HUU UOZO WA SUPER GRO
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la watu wanaoshawishi matumizi ya super gro kama mbadala wa either mbolea za msingi au mbolea za majani (boosters). Wakulima wengi kwa kutokujua wamekuwa wakinunua kemikali hii kwa bei kubwa.Lita 5 wamekuwa wakiuziwa mpaka sh...
Content zinatofautiana japo sio sana...unaweza itumia kama huna alternative,..I mean huna hizo premix za kuku...it won't hurt but growth or production performance inaweza kuwa chini
Science ni fact....sio misimamo na mawazo binafsi...na utakuwa hujaelewa....vet.med sio uganga wa kienyeji kwamba kila mtu awe na utaaam wake
Haijawawi kukuangusha kwa sababu hamna tatzo lolote...unakuwa unahisi umetatua tatzo kumbe halikuwa tatzo...
Nadhani wew sio daktari...ungekuwa japo...
Babu alikuwa sahihi 💯💯💯💯💯💯......kondom Lina hormone zinazoongeza maziwa (oestrogen na Oxytocin)...na Lina madini na viturubisho vinavyosaidia kumfanya kurecover mapema...Iron..kama Babu bado yupo mpe maua yake 🌼🌷🌺🌸🌷...Huwa naenjoy sana nikikutana na wazee wa hivi field..
Kuna vitu vingi...
Sorry kama na wewe ni vet au paravet au animal scientist coz huwa sipend kiwakosoa hawa watu..I respect them a lot..BUT U ARE WRONG SIR...toka mwanzo..umeanza na recommendation ya Epsom kwenye case ya placentophagy (which is not the problem at all) ukiwa na lengo la kusolve tatzo la kupungua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.