Hii kwa TAKUKURU ni kazi yao. Lakini ndani ya serikali rushwa ni kubwa....... CCM wanatumia hela kuwa madarakani kwa % kubwa ,, mimi siwezi kukubali umasikini wakati ufisadi unawapa watu utajiri.
Tuwe wote kwenye Rushwa tuone Mwisho wake.
Sent from my SM-G928I using JamiiForums mobile app
Siasa za kitanzania ni nyepesi sanaa.......Yani raia wanashindwa kueleza matatizo ya nchi yao,kila siku wanataka drama tu. Asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga.
kutokana na siasa za tanzania ,wanaweza kudhani kuwa Makonda ni mtatuzi wa matatizo. wanashindwa kutatua kero wapo na mauzauza kila siku. siasa za nchi yetu ni nyepesi sana.
Mahakama ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara imefuta shauri la jinai lililofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini Paulina Gekul la kumfanyia shambulio la mwili Hashim Ally.
Uamuzi huo umetolewa leo December 27,2023 na Hakimu Mkazi wilaya ya Babati Victor...
Watoto wa UMRI huu kuwaingiza kwenye SIASA ni kinyume na KATIBA ya Jamhuri ambako hata kupiga kura kunaanzia umri wa miaka 18.
CCM mtaacha lini tabia hii ya kipuuzi? Acheni watoto wetu wakue, wachague mlengo wao wa KISIASA. SIASA sio DINI.
MNAWABAKA KISIASA watoto hawa. Hamsikii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.