Pia kuna mradi ya kiwanda cha sukari bagamoyo which was approved by the cabinet . Land for equity .
The value of land 40% imagine 40% ......NSSF wametoa 20% only
SWALI:
The concept of land for equity hakuanza NSSF. Imeanzishwa na NHC tokea wakati wa Masebo then Marehemu Sang'anya then Madekwe na sasa Mchechu ameiendeleza. PPF TPDC TBA na wengineo wamefanya.
Why iwe dhambi kwa NSSF?
Kunya anye kuku lakini akinya bata kaharisha!!!!!!
Kwa wanauliza why NSSF wasinunue ardhi kigamboni. The answer is waulizwe NSSF wenyewe watoe majibu waliyompa CAG .
Why NSSF leaked the draft report but NSSF does not want to leak majibu?
Wanajua wataumbuka. CAG ni mtu makini asingetoa clean report Kama kuna madudu.
Pia audit ilifanywa...
Mwinyi tatizo ni muislam
Hilo ndio tatizo la owners,admin,moderators kama akina Pasco na members wa Jamii forums.
Hakuna informed debates humu ni udini kwenda kwa mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.