Serikali isiangalie tu kwa walimu wanaojitolea katika mashule, wafahamu kuna walimu wengi wanapenda kujitolea lakini wanakosa hizo nafasi. Siku hizi hata kujitolea ni connection. Chance ziwe Sawa kwa wote
Mama aliona mbali sana kuruhusu siasa za majukwaa. Alifahamu fika upinzani wamefirisika kichwani. Waendelee kuongea tuone walivyo kichwani. Hii ni albu kubwa na kujidharirisha. Yeye akiingia ataajiri nchi nzima(vituko)
Huku kitaa walimu wanaheshimika sana kwa kuchungulia fursa na uwekezaji. Karibu kila baada ya nyumba tano utakutana na nyumba ya mwalimu tena ya kisasa na umri bado mdogo. Kuhusu usafiri wanajirahidi sana kuwa na usafari binafsi hasa IST, crown, fielder, noah nk. Baada ya miaka kadhaa ijayo...
Huku kitaa walimu wanaheshimika sana kwa kuchungulia fursa na uwekezaji. Karibu kila baada ya nyumba tano utakutana na nyumba ya mwalimu tena ya kisasa na umri bado mdogo. Kuhusu usafiri wanajirahidi sana kuwa na usafari binafsi hasa IST, crown, lumion, noah nk. Baada ya miaka kadhaa ijayo...
Dunia imeisha, mtoto anatamani anavyofanyiwa mama yake!! Anatamani mkuyenge wa baba yake... Hivi hizi confidence kwa mabinti wa siku hizi wanatoa wapi? Mbona hawaogopi watu wazima, na wanaona kawaida tu. Watu wazima tunaweza kuepuka hili kwa kukaa nao mbali
Hiyo ofisi yake haina secretary? anaimiliki mwenyewe bila mtu mwingine kuhusika na shughuli nyingine hata za usafi? Ninavyoelewa kwa nafasi take lazima ofisi yake itakuwa na wasaidizi kadhaa, waanze kuulizwa hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.