Yaani wasumbufu kama zote.
Mimi baada ya kutowapa pesa wakaandika faini eti tairi mbovu hali zina mwezi.
Nimewaambia silipi mpaka niwaone wakubwa zake ofisini
Tufahamishe ni muda gani unatakiwa halafu huyo ndugu alikaa muda gani??
Nini maana ya kusomeshwa,na je unaweza toa ufafanuzi ama utofauti kati ya elimu bure itolewa la kwanza mpaka form four na elimu inayotolewa chuo kikuu kwa mkopo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.