Nipo dar natafuta wateja watakaoweza kununua cementi ya dangote kwa Bei ya jumla.kuanzia mifuko Mia sita yaani gari moja uneletewa popote Tanzania Bei 12960.karibuni sana mfumo wa malipo ni cash .reja reja 13500.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na loss ya usikivu hizo mashine ni lazima zinunuliwe kwa kuonyesha vipimo ili wajue wanakupa mashine za aina gani.nenda muhimbili kuna jengo la richmond uliza hospital ya vifaa vya masikio utawaona na watakushauri aina gani ya kifaa ununue.nilishawahi kununua cha mtoto set kwa laki nane
Ttcl ndio kampuni inayotoa data ya ukweli kwa hapa tz.acha kulalamika mjerumani sijui mwingereza angalia na ubora wa kifaa chako huna data wiki nzima na uko mjini ni uongo kabisa.hama kwani umelazimishwa kuwa ttcl nenda kwa makaburu wenzio
habari za kazi
nauza incubetor yenye uwezo wa kutotolesha vifaranga 1557.ni mpya kabisa bei 4300000.ipo dar kwa ataehitaji picha anaweza kuzipata kupitia wasup number 0762342300.ni automatic na inatumia umeme karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.