Babu pale kwa taarifa yak hachukui hat shiling Moja.Anasema katik hiy shs 500 anayolipwa.Shs 300 anapeleka Kanisani na Shs 200 anawalipa wasaidi9 wak.Man sio kila penye vyanz vya hela benk ni lazima iwekwe.Je!CRDB wakipelek Bank yao kumbe babu anamzuka na NBC AU NMB.Bank haimfati m2 ila mtu...
Aja2ambia yey anatib kwa bei gan na vilevil yey anatumia miti gan?All 4 all babu yuk juu kwan anatib kwa siku moja ila huy rais wa gambia ana2mia siku 3?Duh hy siy tiba
Huu utaratib ulioanziswa hap Mlimani City katik Bank ya CRDB Kuw mtu kuwa anapofika anachukua karatasi iliy na Number pal katik ile ATM yao.Ok ni utaratib mzur ulioanzishwa ili kupunguz kuvukwa na mtu kisa anamtu anaemfahamu na kumpa ile Pesa anayotak kuwek.Ila inakuj hali ya kuwa na upungufu wa...
Big up kwa sana mkubwa.Hiyo itakuw imekaa vizuri sana na sio kil kitu ni habari ila inawez kuw ni taalifa 2.Kwa mfan unakut Mwandishi wa habar anaish Morogoro harafu anatak kutupatia Habar za Babu wa Loliondo na wakat loliondo penyew hajawah hat kufika.Basi kinachofanyik ni kupig simu kwa...
Sis ni kama wanamapindunzi na wakeleketwa wa Chama cha Chadema.Tunachosema ni hivi "Hatuwezi tema jojo kwa karanga za kuomba"Hilo gazeti walilosoma wao ni lip?Mbona Vyombo vya habar vilirush matulio live sas huko kukanush kwenu kunatok wap?
Habari za Asubuhi wanaJF.Nimekaa sana bila kuwakumbusha vitabu vya enzi hizo zilizokuw zimeandikwa kwa Mfano Mwanangu Pepe huna masikio,Awafu mwenye nguvu,Siku ya Gulio katelelo,Chopeko na Mnofu,Sizitak mbivu hizi,Mzee tola na familia yake,MwanaJF nazan asub hii nimekukubushia mbal sana.
Hii thead ya toka jana kun wa2 wamei2mia.But thanx Mr.Mi nilivyoon title nikawa najua anayezungumziw hat ni yule Afande ambaye ni King of Bongo fleva.Heh!Kumbe ni visa vise
I'm very sad Mr Ivuga.But kilio chetu CHADEMA wamekisikia hivy watatufut machoz ye2 ifikap Mwaka 2015.Ni kwel hay ulioongea ila hii nchi imeshikwa na wachache na hap ndip 2naon hat uhuru 2liopat ni wa watu wachache na sio wa wote.But Chadema under Slaa anataka kuufanya Uhuru huu kuwa wa wote...
Wengine huw wanaziwasha kwa lengo la kuwaumiz wa2 macho 2.Mi kun siku nilikuw nimepand gar flan wa waremb flan hv ilikuw mida ya usiku ndip walipokuw wakitembelda full light ila nilipowaambia kuw wanaumiz wa2 macho walichek na kusem ili wakome wasikae njian mida wa2 na gar zao wanapopita.Hivy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.