Duh kumbe tunaowaonaga mlimani city na watoto sio mababa yaani ni viserengeti mnamendea mama kubwa. Poleni sana maana huwa mnajituma hadi face painting
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una chuki za kitoto sana. Hizi video hazifanani ila kwa vile upo kazini endelea maana kila uzi naona unaipost. Huo ni umama
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.