kweli kabisa...walianza kidogokidogo kuingiza ka finger kwenye 0713 wakaona watu wametulia zikaja fingers mbili sasa umeingia mkono majitu yametulia,watatuburuza sana ,dah
duh leo sniper ,,sijui bashite kampa maagizo gani,walimkosa kwenye ujinga wa list ya madawa sijui itakuwaje ha,sniper anaaangalia kwa jicho la machuki na roho nyeusi ya kikolomije kabisa
MAISHA YANGU YAKO HATARINI
Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kunilinda hadi hivi sasa nikiwa mzima wa afya njema.
Ndugu zangu watanzania wenzangu nimeona niwajuze juu ya njama chafu zinazopagwa juu yangu za kuniteka, kunipiga hadi kuniuwa zinazopagwa na baadhi ya viongozi wa chama cha...
Huyu bwana sniper ni mystery sijui siyo mystery..agh awamu ya tano inachekesha sana
baada ya issue ya nape na waziri kusema huyu jamaa kapatikana,Igp kusema anatafutwa,Rpc wa kinondoni kusema hawamjui,bodigadi huyu wa bashite ambaye hata kina wolper watakuapia kwa Mungu jinsi alivyo na masifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.