For the past 10 years, Tanzania has been proudly announcing promising growthfigures released by the World Bank and International Monetary Fund.Statistics show that Tanzania's economy has been growingat the rate of 6-7 per cent for about a decade now.Economically speaking, 6-7 per cent is an...
A man went to his pastor, knelt down and began confesing tearfully: Pastor, I have sinned. Pastor : My son, what did you do, just confess what exactly you did? God Almighty will forgive you.
Man: (sobbing), Pastor I committed adultery with several of the female church members.
Pastor : can...
Naangali Supersport 3 kunatakiwa kuwe na live match kati ya Gabon na Brazil, kituko kimetokea just before kick off umeme umekatika na President ndo mgeni rasmi, ni aibu tupu yaani mpaka sasa mechi imechelewa kwa dk 15.
Marriage without stress is a possibility, divorce can be avoided.
When the lord turned again the captivity of His people they became like them that dreamed, Psalms 126 vs 1.Your trial is turned to triumph. Do not bother about how it is going to happen just believe it and the zeal of the lord...
Watu wengi tumewaona kwenye ndoa wakiishi katika hali tofauti za maisha, wako wenye fedha na wasionazo, wako wenye furaha na wasio na wasionao. Yote hii huweza kuchangiwa na sababu nyingi ikiwemo wanandoa hawa kujikuta wanaingia katika ndoa wakisukumwa na sababu zilizo mbovu na zisizo na msingi...
Nilikuwa namsikiliza mh Susan Kiwanga antoa takwimu Bungeni leo anasema Kwa miaka 50 iliyopita serikali imeweza kupima asilimia 1 tu ya ardhi Tanzania,
Swali likaja:
Je tunahitaji miaka mingapi ili kuweza kupima ardhi yote ya Tanzania?
Shared through email. Credit the mail originator (not me).
When people see you lying down, with your eyes closed they still ask:- Are you sleeping?
A: No! I'm training to die!
Imagine when you take an electronic equipment to a technician to get it fixed and he still asks you:- Need it to be...
Fataki alimpa lift dada mmoja aliyekuwa ametoka church, kwa kuwa dada alikuwa amebeba biblia fataki alijua yule dada kaokoka. ndani ya gari Fataki kila akibadili gear anamgusa mapaja yule dada, Dada akamwambia Tumia mathayo 7:7, Fataki akajua amepigwa dongo kidogo tu yle dada alifika na kushuka...
Jamani wana JF ninaomba msaada wenu,
Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana na kuwasiliana mara ya mwisho.
Juzi kwenye sherehe za Mei mosi nilienda morogoro nikakutana naye na...
Mtoto mmoja aliibiwa yeboyebo zake akalia sana, ghafla akatokea mtu mmoja mzima akamuuliza
kwanini unalia?
mtoto akajibu,
nimeibiwa yeboyebo zangu,
yule myu mzima akamwabia nyamaza usilie mwachie Mungu,
mtoto akajibu,
Mungu hazitamtosha ni ndigo sana.
Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye quiz ya kuongea, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ampatie mwenzie majibu.
Kwakuwa muda ulikuwa mdogo sana na watahiniwa...
Wana JF naomba kujua kwa nini siku ya jumatano ambayo kuna magazeti ya Mwanahalisi na Raia Mwema huwa Star Tv hawasomo magazeti au wamekatazwa, yanasomwa kupitia redio tu, naomba mnisaidie mwenye sababu. Nimefuatilia hili suala kwa wiki nne mfululizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.