Good morning Vodacom Tanzania, nataka kujua mnafanya roaming na nchi gani za Afrika mashariki? Ninataka kutembelea Rwanda, Burundi na Uganda hivyo itakuwa busara zaidi nikijua ni wapi niendelee kujidai na Vodacom na ni wapi nikanunue sim card?
Siamini katika falsafa ya kutoleana maneno ya kejeli ila ninachoweza kukuambia ni kuwa umekariri na unakosa "exposure". Kwa taarifa tu ni kuwa vazi rasmi la wanaume nchini Scotland ni sketi, kwa hiyo usikariri ukafikiri nchi zote ziko kama ya kwako!
plugs na nimesafisha nozels
Maelezo yako yanajikanganya hakuna gari yenye spark plugs na nozzles kwa wakati mmoja labda ufafanue ulikuwa unamaanisha nini?
Kwa akili ya kawaida unaweza ukagikiri Biblia imejichanganya la hasha, unajua hofu huwa inaondoa uwepo wa Mungu katika maisha ya wanadamu na uwepo wake ukiondoka Mungu hawezi kukubariki. Huu mstari haumaanishi kuwa usifanye kazi bali unamaanisha fanya kazi ya halali kwa kutumia mikono yako na...
Ni nani alikuambia kujenga nyumba au kuwa tajiri kunategemea ukubwa wa mshahara? Kitu cha muhimu ni discipline ya hela tu wala si kiasi cha hela kinachoingia.
Ntakupa mifano:
1. Kuna afisa mmoja wa Benku kuu ya Tanzania analipwa mshahara wa TZS 6M na point kadhaa achilia mbali marupurupu...
Wewe siyo mzima lakini statement yako imenifanya niujue zaidi ukuu wa Mungu kuwa katika kuumba katuumba watu wenye akili timamu na mapompompo kama wewe!
For the past 10 years, Tanzania has been proudly announcing promising growthfigures released by the World Bank and International Monetary Fund.Statistics show that Tanzania's economy has been growingat the rate of 6-7 per cent for about a decade now.Economically speaking, 6-7 per cent is an...
Matthew 16:26 KJV
For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
Kwa sasa mby kuna freightlink ambayo ni ndege ndogo na inauwezo wa kubeba abiria 14 nauli ni 418,250 return.
Precision air kwa kutumia ndege yao aina ya ATR 42-600 wanaanza safari za Mby (MBI) Tarehe 16 Januari 2013 na itakuwa mara 3 kwa wiki nauli yake ni 219,000 return!
Kwa maelezo...
Waislam acheni kulalamika hovyo, wanawake na watoto walilalamika sana wakasema wanaonewa wakaundiwa wizara yao.
"Wizara ya wanawake, jinsia na watoto" na nyie mkiendelea kulalamika tutawaunganisha kwenye hiyo Wizara na sasa itasomeka "Wizara ya Wanawake, waislam, jinsia na watoto"
Ni kweli kabisa na nivizuri yukaeleweshwa kwa sababu Mungu wa Wakristo na mungu wa waislam ni tofauti, sasa inapofika bunge linaomba kwa mungu na wimbo wa taifa unamtaja mungu ni mungu yupi?
Nathubutu kusema ndo maana nchi inazidi kuchanganyikiwa kwa sabubu haijui inamuomba mungu yupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.