Kwanini aende jela wkt amepata pa kuanzia,he has a chance to play both sides akapata anachokitaka,plus msaada wa isaac,the bold fikiria tena,ray ana alternative,hakuna haja ya kumpeleka jela,unless unataka kutunyima utamu wa Cheupe[emoji2] [emoji2]
Habarini wadau wa ufugaji,nauza kuku matetea wazuri kwa ajili ya mbeg,umri kati ya miezi 5 hadi mwaka,bei 15,000 maongezi yapo,wanapatikana mbezi louis,dar.
Kama ni hivyo biblia isingesema mwanamume atawaacha baba na mama yake ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja.
Pili Yesu aliwaambia wayahudi kuwa Musa aliwaruhus kuoa mke zaid ya mmoja sababu mioyo yao ni migumu.
Km egyptians were black bs na israelites walikua black,km mmesoma kitabu cha Exodus,musa alivkua jangwani mabinti wa yule kuhani walipomwona walidhani musa ni egyptian,kwa maana hiyo musa alikua black,kwa sababu kwnn wadhani yeye. I mmisri km alikua white!?
Archaelogists wameshindwa kuthibitisha kuwa kuliwahi kuwa na mfalme anaitwa Daudi Israel na kuwa alikua na ufalme wa level zile,hiz ni habari za kusadikika tu.
Sasa kwnn tunashindwa amini za kwetu.
Kamanga bay,yaani tz hatuna tu kumbukumbu za kutosha,lkn Kamanga ni babu wa bibi yangu mzaa mama,nachojua khs yeye ni kidogo mno.
Bibi aliwahi kunisimulia kuwa Kamanga aliota kifo cha gavana wa Uingereza wakati huo akamtuma rafiki yake akamwambie gavana,huyo rafiki yake kufika akakuta watu wana...
Ameyumba hasa,hii ni karne ya 21,haya mambo yapo,ni kumuomba Mungu atuepushie watoto wetu tu.
But what do i knw,am just a farmer,ngoja nikaokote mayai bandani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.