kuna serikali ya mbinguni na serikali za wanadamu. Kufanya kazi kwenye serikali ya mbinguni ni raha sana. Yaani katika ufalme wa Mungu. kimsingi serikali za wanadamu, mkuu wao ni ibilisi aitwaye sheitwani. [mkuu wa ulimwengu huu], "mungu wa dunia hii" 2Kor 4:4.
mungu inayoanza kwa herufi ndogo
haya maelekezo ya "sio sahihi" ni kwa mujibu wa familia, ukoo, kabila, ama kitaifa kabisa!????? au bara la Afrika?????
kwa hiyo kwa sasa huwa unaanika wapi nguo zako za ndani kwa sasa.
huwa ninabaki na nguo za ndani, nikiwa chumbani mwangu. na wanangu huwa hawaingii chumbani mwangu.
mtoto wangu anaachaje kuwa mpenzi wangu. "beloved one"
tafsiri ya mambo ndio changamoto. hii Iko zaidi kwa mtu mweusi. vichwa vimejaa mawazo ya ngono tu
“Wapenzi, nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikia habari ya wokovu ambao ni wetu sisi sote, naliona imenilazimu kuwaandikia, ili niwaonye kwamba mwishindanie imani waliyokabidhiwa watakatifu mara moja tu.”
— Yuda 1:3 (Biblia Takatifu)
Niko hapo namba 12. sio Mfia dini ila NIMEOKOKA. kuokoka ni kitu zaidi ya dini.
1. kuokoka - kumpa Yesu maisha yako kwa maana ya kuzaliwa mara ya pili ni lazima kama hutaki kuangamia kwenye ziwa la moto wa milele.
2. tunaposhea habari za mbinguni sio kwamba tunaringa. tunatamani tulichokiona...
mtu akitwaliwa katika misha haya, anakuwa na ufahamu wote na hisia zote. ila sio za ulimwengu huu bali katika ulimwengu wa roho. Mcha Mungu anachukuliwa na malaika wa Mungu na kupelekwa kupumzika na Bwana[paradiso/peponi]. ambaye hakumcha Mungu (m-dhambi) hupelekwa kuzimu na malaika wa kuzimu...
Luka 16 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁹ Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.
²⁰ Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
²¹ naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.