Nikiwahi kuishi Dodoma nilichokiona huko ni ukame.
85% ya chakula cha Dodoma hutoka mikoani na hii ni kwasababu ya ukame ukiopo pamoja na aridhi kutokuwa rafika na mazao ya chakula,Dodoma hawawezi kujilimia vyakula vyao na hii husababisha mkoa ule kuwa na gharama kubwa za chakula,mfano...
Huu ni ukweli usiopingika.
Arusha ni mji ambao kuna maisha ya juu sana kupita mji wowote East Africa,na nasema hivi nikiwa na evidence+experience ya kutosha.
Nimezaliwa Nairobi na nimeishi na kwasasa na link na watu wa Nairobi katika shughuli zangu za kila siku japo siishi huko,Arusha is...
Asante sana Mkuu nimeshakutana na hizo contact japo ulikuwa unatakiwa ufanye toka mwanzo ili kuturahisishia.
Nikishafanya mawasiliano nao na kupata udhibitisho kwao nitafanya nitakachoweza aidha kwa acc yako au ya chuo moja kwa moja.
Asante.
Asante Mkuu.
Hatua ninazochukua usiku huu ni Ku visit website ya hicho chuo ili nipate full contact zao na kufanya mawasiliano nao ya moja kwa moja.
Pia kuna kijana yupo hapo mwaka wa pili sasa,akichukua Economy nitajaribu kuwasiliana nae kesho asbh ili anisaidie zaidi kuliangalia jambo hili...
Hivi ni kwamba kiwango cha elimu kimeshuka au ni kitu gani..??
Mtu unaomba msaada alafu unafichaficha vitu au uweki details za kina.
Nasoma chuo kimoja kanda ya ziwa...!!!!nini maana yake..??
Weka Jina la Chuo,Jina lako na risiti zako za malipo toka mwaka wa kwanza mpaka sasa.
Yani ungekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.