Uwajishwaji wa viongozi kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu maana kuna mnyororo mrefu wa viongozi, siku tukitaka kupata maendeleo ya kweli inabidi tujitoe kwelikweli
Kweli kabisa yaani huo mkoa umetawaliwa na wafanyabiashara wakiarabu na kama wamemiliki mkoa, kuna jamaa tu Sikonge mafuta yanasumbua mpaka utembee km 18 ndio ukute kituo cha mafuta yaani basi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.