Hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu ni watu hatari sana kwani wakati hawa watu wanapotoa lugha za matusi na hatari kwa viongozi wakuu wapo kimya lakini Serikali inapochukua hatua ndipo wanakimbilia vyombo vya habari na kutoa porojo za ovyo
Hii sakata la bandari lina vita kubwa sana za kiuchumi kati ya UAE na nchi ya Belgium katika kuthibiti madini ya DRC.
Hivi karibuni serikali za UAE na DRC waliwekeana mktaba mkubwa wa uchimbaji na ununuzi wa madini ya DRC.
Bandari ya Dar es Salaam kwa kiasi kikubwa itanufaika na hii biashara...
Ndege zilinunuliwa bila utaratibu wowote. Miradi ya kujenga reli ya standard gauge na Mwalimu Nyerere Hydroelectric ilitangazwa lini na mzabuni alipatikana kwa njia ipi. Mwacha kunyampanyapa sasa kwasababu ya uhuru wa kutoa maoni upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.