hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni kwenye huu Uzi,ili mtoe msaada.
Kujua kuhusu kuongeza mishahara rejelea kauli gongana, sizonje, mkuchika na Yule cheupe dawa aliyehamishiwa madini ndo utajua hawa jamaa, ni waongo na wamewafanya watumishi wa umma wapumbavu.
Dah! hapo hajamsifu Bali kamtukana, kwa anayeijua zimbanbwe ni tusi kubwa Sana hebu angalia uchumi wao kwa sasa, so akili ndogo wamedhani wamesifiwa na hata kurugezi ya mawasiliano kutoa appreciation.
mleta mada, lazima atakuwa mnufaika wa buku Saba Saba za wakoloni weusi ( ccm),maana ukishakuwa upande wa mkoloni lazma kila hoja utakayotoa ionekane kituko kwa great thinkers(sifa ya kujiunga huko lazima uwe taahira kwanza km bwana mkubwa wao)
Mtoa Uzi, kweli unataka kuwalisha unga wa ndele watu ambao upeo wao c ule wa giningi, nakudhauri fikiri kwa kutumia brain na c sehemu ya kutolea kinyesi, hakika laana ikukute pamoja na huyo unayemtetea, jua watumishi wanaishi maisha magumu Sana.
Nkamia pumbavu kabisa we mzee, njaa itakuuwa, ndo nyie mnaesema vijana wajiajiri, kujipendekeza huko hatari Sana, Iga mataifa yenye maendeleo makubwa km marekani na c Rwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.