Nikifika hapa napata mshituko kidogo kwani wakati nyarandu anaachia ngazi mlipiga makofi wala hamkukumbuka kuwa watu walilala vituoni wakisubiri kumpigia na sasa kawaacha wakiwa
Anajengaje msingi bila kubomoa na anapobomoa wanaoishi ndani ya hiyo nyumba wanaishi wapi! Nachokiona ni kuwa alikuta nyufa na sasa ameanza kubomoa kabisa na mwisho wa siku hii nyumba itaanguka na hapo ndo hata uwezo wa kujenga tena hatakuwa hana
Kweli mmeishiwa! kila mnachofanya siku hizi mnachekesha. Sioni sababu ya kuwawekea watoto katuni bali hotuba za viongozi wa sasa wa CCM. Leo mnaongea hili kesho mnajipinga haya pambaneni na hali zeni ila msitikise ya kwangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.