Hapo mashariki ya kati Israel hajawahi kushindwa vita, kila baada ya muda hayo mataifa huwa yanataka yaipige Israel yaiondoe lakini yanaishia kupewa kipigo.
Mkuu magonjwa mengi ya virus huwa inakuwa kazi sana kupata tiba ya kuponya bali kunakuwa na tiba ya kupooza.
Hata wao hawana dawa ya mafua bali ya kutuliza.
Hata sisi pia tunazo nyingi tu za miti shamba.
Mjinga wewe sio unaropoka tu
Majizi yameambia ukweli wa mkataba yameona aibu yanamalizia hasira kwa Slaa, mlegea macho utafikiri imo hapo anahisi kifua kinapasuka na kufura kwa hasira.
Maji hayuzuiwi kwa kuta bali yanatafutiwa njia, hata mkimvua ukweli kawambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.