No mkulu,
Sakata la Masha dhidi ya Mengi ni kubwa mno na kwa vile Masha ameingia mtini baada ya kukumbana na big tyme neg pub opinion, hiyo tu hailifanyi hilo swala kuwa dogo.
Masha na mafisadi wenzake walitaka kuziba mdomo wa magazeti mahiri ya Thisday na Kulikoni kwa vile yameendelea...
neah,
kabla sijafika kwa wananchi wote, ninaanzia pale ambapo tatizo limekubuhu na kuelekea kwenye udonda ndugu (kansa?) ambako ni ccm ya Kikwete, Makamba, Rostam Azizi, Manji, Chenge (tume ya maadili ya ccm?) nk
CCM wote wameoza kuanzia Kikwete hadi kwa balozi wa nyumba kumikumi. Hii nguvu na kibri ya kutoa rushwa waziwazi wanaipata kwa Kikwete mwenyewe na si kwingine kokote kule.
Kubwa ni ile ya Kikwete kumtumia waziri wake fisadi aitwaye Karamagi kusaini mkataba wa madini hotelini, kulikopelekea wabunge wa ccm kumfukuza Zitto bungeni, kupelekea viongozi wa ccm kuzomewa nchi nzima, na kupelekea Kikwete kuunda kamati ya usanii ya madini baada ya kutoa hotuba ya masaa...
Ukiona serikali inanunua magari ya fahari 700 wakati shule zinakosa vyakula, basi ujue kuwa kuna tatizo somewhere between serikali iliyoko madarakani na wapiga kura walioiweka serikali hiyo madarakani.
Na bado kuna mtu anatumia muda mwingi kutaka kujua ni kina nani wanaandika hapa JF badala...
Kama mafisadi wengine waliomtangulia (Manji, Lowassa, Rostam Azizi, etc), Masha ameshindwa kufanya chochote dhidi ya Mengi hata baada ya kutoa vitisho vya siku saba kwa hasira na mikiki mingi.
Kwa mara nyingine, dozi kubwa aliyopata hapa JF imemfanya arudi nyuma na kuacha magazeti mahiri ya...
Kichuguu,
Kuna mambo ambayo inabidi kuwa siri (yaani kuna mambo huwa mimi sitaki kuyajua kabisa) ila mambo mengi yanayosemwa au kufanywa na viongozi wa serikali sio siri na hayafai kuwa siri kabisa.
Masha ananionea wivu mimi na sio the other way around.
At the age of 24 ..... ninalipwa mshahara mara kibao zaidi ya mshahara halali wa Masha. Nani anamuonea wivu mwenzake sasa.... hey .. nani ana wivu?
Masha akirudisha pesa yote ya kifisadi aliyoipata ..... kwa wizi wa pesa za serikali na...
Ushauri mzuri sana Mtanzania,
Kwa upande wangu sijaona wide spread ugomvi kwa watanzania wa USA. Hapa watu wametapakaa sana na US ni kubwa kwa hiyo ni vigumu sana kwa mafisadi kusambaratisha watu.
Kama watu wa NY wakigombana, sisi wengine San Francisco, ATL, Chicago na kwingineko bado...
yaani we acha tu,
Hapa hapewi breki... unajua madikiteta wanaaanza hivi. Wanaanza kwa kufungia magazeti na baadaye utasikia wamefunga vituo vya TV na kisha kupeleka watu Siberia kwa makosa yasiyojulikana.
Masha asikilize ushauri anaopewa la sivyo hiyo ndoto ya uraisi aliyonayo itaisha...
Just wait for the tone .... message itaachwa hapa wazi and clear. Huyu Masha ni fisadi na haya mambo ya kutoa siku saba yamevuka kipimo cha kawaida cha uvumilivu.
tik tak tik tak tik tak .......
wao wakijua hili.... wajue kuwa.... yao mengi yanajulikana. Na tatizo lao, wengi wao ni walevi na wagoni kwa hiyo ni rahisi mno kuropoka siri zao.
Kuhusu kufanikisha zoezi lao.... naweza kusema kwa hakika kuwa wengi wao wameanguka mtihani... na kama kuna walichojua, basi ni kile ambacho...
Masha ni fisadi na kuhusika kwake na ufisadi ni jambo ambalo nimekuwa nalisema toka wakati ule wa issue ya mwanahalisi na pia wakati wa issue ya Ridhiwani Kikwete na kampuni la kifisadi la IMMA (IMMMA).
Ugomvi wa Masha dhidi ya Mengi ni kwa sababu Thisday na Kulikoni wameendelea kushika bango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.