Polisi wa tanzania nimewadharau sana..kweli wakisema hawajasoma ni kweli...mambo ya watu binafsi ndo yanapewa vipaumbele..mtaani huku ni vibaka kila kona
Yaani wabongo bwana hatuna hata shukurani..mkikurupushwa na mijambazi saa kumi za usiku mbio mnaenda kituoni...kwani.. mda wa kazi hamjui unaisha sa tisa...wafanyakazi wangapi wa serikali wanafanya kazi 24hrs? Mnajisikiria raha tu mkisikia kuwa wameuwawa polisi sita wakipambana na...
Hilo shimo hata ukiwa mita mia mbili pande zote linaonekana.tatizo maderva wote walikua wanashuka mlimani spidi na kila mmoja alitaka aanze kulipita shimo.wanasema kugombea goli.hamadi wakakutana., so ni uzembe ingawa na barabara sio nzuri, mtu makini angeokoa maisha pale..
Wanajamvi mm ndo natoka eneo la tukio.kweli barabara ni mbovu ila kama wenye magari wote wangetaka kuyaokoa maisha ya abiria wangeweza...uzembe nao umechangia..kwa mtu aliekua eneo la tukio ni ajali mbaya sana sana..basi limeng'oa viti vyote uwe na mkanda usiwe na mkanda
Kuna wanafunzi wa udsm...
ukitaka kuonekana unahekima basi andika vitu vyenye hekma.ulishawahi kukutana na watu wanaosumbuka na magonjwa ww?cancer za utumbo,za koo za damu au presha?kama ww huna ndugu mwenye matatizo hayo unyamaze yasijekupata maana wengine yamewapata kazini au adhari za dawa,sindano.kusema ni result ya...
wazee wetu walilala wakati wenzao wanapigana na maisha na kuwaandalia watoto wao mazingira mazuri na kuibuka akina lowasa.walaumu wazazi wenu.mkiambiwa leteni ushahidi mnasugua meno.ongeeni kama wasomi bwana.stop gossiping.talk with facts
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.