Kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia bila ya wewe mwenyewe tafadhari usipuuzie tafuta mtaalamu akuwekee sawa mambo yako la sivyo utatumia nguvu kubwa sana lakini hutotoboa .
Kama utaona aibu kwenda kwa mtaalamu basi nenda maduka ya dawa ya asili wakuuzie dawa zitakazokukinga na...
Mipango mbalimbali ya kimaendeleo huwa inakwama kutokana na ukosefu wa pesa.
Umaskini ni adhabu kubwa sana pia umaskini unadhalilisha mno.
Ni ngumu sana kutoboa kimaisha ukiwa maskini na hata kwenye kusoma huwezi kusoma kwa raha kutokana na umaskini.
Pesa hufuata pesa nyenzake ilipo.
Nidhamu ni silaha muhimu sana kwenye maisha, iwe nidhamu ya kumuheshimu mtu awe mdogo au mkubwa, nidhamu ya muda, nidhamu ya pesa nk.
Muheshimu mdogo hata kama umemzidi umri kiasi gani na jiepushe na kumuita mtu uliyemzidi umri ukamwita "DOGO" , muite angalau mdogo wangu angalau lina sound...
Ukitaka kufanikiwa kimaisha anza kwa kununua daftari na peni.
Hakikisha kila siku kabla haujalala umeshapanga kesho yako ufanye nini na nini na matumizi gani muhimu uyafanye.
Nini ufanye ili uboreshe utendaji kazi wako, maslahi yako, elimu yako, biashara yako nk.
Kesho yake kabla muda wa...
CCM wasipotengua utaratibu wao wa kumpitisha mgombea wao wa urais kwa awamu mbili safari hii itakula kwao.
Ili CCM iondoke madarakani kiwepesi basi wamruhusu Samia agombee urais 2025 maana Samia amefeli sehemu nyingi sana hakuna sehemu angalau unaweza ukamsifia amefanya vizuri, angalau hayati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.