Nimekaa natafakari wasanii na muziki wetu huu wa Bongofleva ya sasa na ule wa zamani (old school).
Kiukweli nimegundua kuwa wasanii wa sikuhizi sio wabunifu ingawa utandawazi na teknolojia imekuwa kwa kiasi kikubwa. Mashairi na tungo za sikuhizi ni kama zinafanana kwa kiasi kikubwa yaani hamna...
Habari WanaJamiiForums?
Moja kwa moja twende kwenye mada bila kupoteza muda.
Ipo hivi, kuna wataalam na wajuvi wa masuala ya nyota wanasema unaweza kujua nyota yako kwa kutumia njia takribani tatu ambazo ni;
1.TAREHE NA MWEZI WAKO WA KUZALIWA.
2.JINA LAKO NA MAMA YAKO HALAFU UNAGAWANYA KWA 12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.